pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Kuna kundi hili la makoma hawa wakongo walikuwa wanaishi Belgium hivi bado wapo na maswala ya muziki au walishaachaga muziki maana Kuna nyimbo yao ya buti na moyi ilikuwa inanikosha sana japo siilewi mwenye ufahamu a nijuze
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app