Kundi la wake za watu (wanawake) linaloongoza kutoka nje ya ndoa (kufanya ngono)

ukishindwa kujithamin wew nani akuthamin
 

Hawana jengine la kufikiri zaidi ya wanawake. Ndiyo maana hatuna maendeleo kazi kufikiria sex sex sex......
 
Nimekuelewa mkuu, ya kuwa ndoa zinahitaji uwajibikaji, kushindwa kufanya hivyo hayo mambo uliyoyataja yanatokea kwa kiasi kikubwa. Kila aliye kwenye ndoa awajibike kupunguza haya majanga.
 

Mkuu mbona umesahau makundi nyeti sana katika hii tasnia ya kuchepuka kama wafanyakazi wa mahotelini, wafanyakazi wa baa, wafanyakazi wa saloon, wafanya biashara, wadada warembo wa kenye maduka makubwa makubwa na madogo , mabeki 3, .
 
Last edited by a moderator:
Kumbe dar kupata demu au mke wa mtu kungonoka nae ni rahisi hivyo! Basi natahamia dar.
 
Labda naye ni mmojawapo anatoka nao, hahahaaa!!!
 
Hahahaha! hapa kwa manesi na madaktari nimecheka sana
 
Tujikumbushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…