Kundi la wake za watu (wanawake) linaloongoza kutoka nje ya ndoa (kufanya ngono)

Kundi la wake za watu (wanawake) linaloongoza kutoka nje ya ndoa (kufanya ngono)

Siku zote inategemea na mtu anajithamini vipi.
Anamthamini vipi Mpenzi wake au mwana ndoa mwenzake.
Inategemea anamcha Mungu kiasi gani.
 
Some times inategemea na mtu mwenyewe wengine unawapa lift sijui lunch lakini ukigusia mambo ya love tu anakuchana kua hataki na humuoni tena wengine ndo hivyo tena wepesi
 
Haijalishi kiukweli wa majumbani wenyewe ni shida juzi hapa kuna baba katimua mkewe kwa kumfumania na seremala,huyu baba alimzuia mkewe kufanya kazi akamuweka ndani mbona bado ameisaliti ndoa?
Kuwa na kazi ama kutokua na kazi SI sababu ya msingi kikubwa ni tabia asili ya mtu na akili yake kichwani baaasi.
 
Haijalishi kiukweli wa majumbani wenyewe ni shida juzi hapa kuna baba katimua mkewe kwa kumfumania na seremala,huyu baba alimzuia mkewe kufanya kazi akamuweka ndani mbona bado ameisaliti ndoa?
Kuwa na kazi ama kutokua na kazi SI sababu ya msingi kikubwa ni tabia asili ya mtu na akili yake kichwani baaasi.
theboss pita pande hii
 
Last edited by a moderator:
haya tushawahi kuongelea kwa namna nyingine ila tuliishiwa kutukanwa na wadada wa humu kwa maelezo zaidi pitia hapo
Viol pita pande hizi

wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Ingawa wa wanawake wa la saba na form four tutachapiwa ila rahisi kuwahandle,sasa Hawa wa ofisi za posta ofa za vyakula na lifti ndo hizo jioni akirudi kiburi kibao na unyumba unanyimwa
 
Last edited by a moderator:
Ingawa wa wanawake wa la saba na form four tutachapiwa ila rahisi kuwahandle,sasa Hawa wa ofisi za posta ofa za vyakula na lifti ndo hizo jioni akirudi kiburi kibao na unyumba unanyimwa

teh umenikumbusha msemo wa mkaka flan ofisini eti" wanaoolewa sikuhizi ni form four failure na std 7 tu" hawa wengine ni pasua kichwaaaaaaaa
 
teh umenikumbusha msemo wa mkaka flan ofisini eti" wanaoolewa sikuhizi ni form four failure na std 7 tu" hawa wengine ni pasua kichwaaaaaaaa

Na ndo ukweli,hawa wa form four la saba wanajua ku-care waume zao
 
Na ndo ukweli,hawa wa form four la saba wanajua ku-care waume zao

mmmmmhhhhhh lasaba anajua kucare kweli??? sema kwa sababu ni rahis kuwatreat na ni waoga kuliko wanaojifanya wamesoma na kujua haki zaooooo labda...
 
mmmmmhhhhhh lasaba anajua kucare kweli??? sema kwa sababu ni rahis kuwatreat na ni waoga kuliko wanaojifanya wamesoma na kujua haki zaooooo labda...

Inategemeana ila wanakuwa serious kujituma kwenye ndoa au kumsikiliza mwanaume
 
Hii inaeza ikawa na ukweli kiasi flani hasa kama mwanamke akiwa hana msimamo.

Pia hii kitu inaangalia na nature ya kazi.Mfano mwalimu au nesi sio vyepesi sana kufanya hayo mamb😵weni walimu jamani .

Thanks God Nina uhakika wa salary kila mwezi nikiachilia mbali za kila siku,Nina uhakika wa kuwahi au kuchelewa nyumbani nikitaka, Nina uhakika wa ajira hata nikidoji miezi mi3 job chezea ualimu ww!!
 
True kabisa mkuu ,hujaacha kitu:angry::angry::angry:
 
Thanks God Nina uhakika wa salary kila mwezi nikiachilia mbali za kila siku,Nina uhakika wa kuwahi au kuchelewa nyumbani nikitaka, Nina uhakika wa ajira hata nikidoji miezi mi3 job chezea ualimu ww!!

Hahahahahahaha! Tupo wengi.
 
Mleta mada tumekusikia! Ila mwendo mdundo tu, mbe kwa mbe, mwisho wa siku tunasepa tunaiacha dunia hii. So kama watu wanakulana nasema na walane tu!
 
Back
Top Bottom