- Thread starter
- #41
tuoe nani sasa?? Walimu ambao wanapata muda mref wa kukaa nyumban wakat mi nko kazini hadi saa 4 usiku?? Mwalimu ambae nae atataka mwalimu mkuu asimpangie "duty" kwa miezi 5? Mwalimu ambae nae ataenda kwa afisa elimu ili asihamishwe kituo?
Walimu, haiba, kazi na mafunzo yao yanawafanya kidogo wawe na hofu. Kuna unafuu mkubwa!