Kundi la Watanzania laandamana wanataka ndege yao

Kundi la Watanzania laandamana wanataka ndege yao

Hapo andamana kumtoa mwandish Erick uone kichapo chake
 
Nchi ina maigizo hii ila nashangaa pengo la kanumba halizibwi...
 
Wafuatana kwenye ubalozi wa Afrika Kusini mjini Dar

Namna gani tunaona aina yaserikali yccm inavoongoza wavutabangi nahuo imetokana na utaratibu kunyima watu elimu,hawa waliokimbilia south kwakuvuta mabangi huko.eti wanaandamana mana hatahawajui nn kimetokea
 
Nilishauri mapema
Ahsante kwa wazalendo kutuwakilisha kuitetea Nchi yetu
 
Muhimu ujumbe ushafika,
Safi sana...wameachwa kwanza wakafanya yao...wengine hta mkutano haujaanza jamaa huaga washafika na vibomu vyao vya kutoa machozi...hao wametumiwa

Dawa ya deni ni kulipa
 
Nchi ilioendelea hiyo
Screenshot_20190826-073208.jpeg
 
Kama hakuna risasi iliyolia hayo siyo maandamano
 
Tunataaka, ndege yetu(irudi!) x 100 !!! hahahahahahahaha
 
Dah! ila kwa hili naungana na hao waandamaji, najaribu kuwaza jinsi gani inaweza kuniuma ndege yetu ikikamatwa hivi hivi tu. Hata hivyo lipeni madeni ya watu aibu zitajiondoa zenyewe tu.
 
majuha katika ubora wao

Hehehe! ila kumbuka ujumbe ulifika maana waliachiwa waandamane hadi wakafika ubalozini ndio wakafurushwa, hivyo kusudi la kutuma ujumbe lilifanikiwa. Ingekua vinginevyo wangechea kichapo wakiwa mbali, yaani ile tu hata kukusanyika kabla hawajaanza, wangekua wameswekwa ndani.
 
Back
Top Bottom