babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Mbna sioni ffu hapo...au ccm kuandamana free[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ficha upuuzi wako!
!
Hawa Ni Vibaka Tu Wa Lumumba. Badala Ya Kulipa Hela Za Watu Wanajipanga Kufanya Maandamano Yasiyo Na Maana Yoyote.
Pale Hakuna Hata Mmoja Aliye wahi Kupanda Ndege Au Hata Kuisogekea Hatua Chache. Tunataka Ndege Yetuu Hahahahahaha
Namna gani tunaona aina yaserikali yccm inavoongoza wavutabangi nahuo imetokana na utaratibu kunyima watu elimu,hawa waliokimbilia south kwakuvuta mabangi huko.eti wanaandamana mana hatahawajui nn kimetokeaWafuatana kwenye ubalozi wa Afrika Kusini mjini Dar
Watu wote wawe huru na sio kubagua.Si nyie mnasema watu wawe na uhuru wa kuandamana ama!!???
Na wewe umejitokeza kwenye haya matembezi ya jazba??Ficha upuuzi wako
Safi sana...wameachwa kwanza wakafanya yao...wengine hta mkutano haujaanza jamaa huaga washafika na vibomu vyao vya kutoa machozi...hao wametumiwa
Dawa ya deni ni kulipa
majuha katika ubora wao
We jamaa nimecheka hadi mbavu zimevunjika!
!
Hawa Ni Vibaka Tu Wa Lumumba. Badala Ya Kulipa Hela Za Watu Wanajipanga Kufanya Maandamano Yasiyo Na Maana Yoyote.
Pale Hakuna Hata Mmoja Aliye wahi Kupanda Ndege Au Hata Kuisogekea Hatua Chache. Tunataka Ndege Yetuu Hahahahahaha