Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Yaani Lissu wakijipanga kumalizana nae ni swala jepesi sana anadai Magufuli katoa rushwa na ushahidi anao na CDM wanashangilia.

Hivi Magufuli kaanza kutoa hela barabarani jana au kuchangisha watu kwa sababu ya shule, amekuwa akifanya ivyo karibu katika kipindi chote cha miaka mitano na bado muda wake kama raisi aujakoma.

Sasa utaitaje rushwa alichofanya Kibiti kitu ambacho amekuwa akikifanya kilasiku anaposimama kuongea na wananchi tena Lissu anajitapa huo ndio ushahidi wake.

This guy is a joke hoja zake ni nyepesi mno, anavyoongea utadhani yeye na raisi wa nchi wana mamlaka sawa sawa wakati ata form za kugombea uraisi azijatolewa bado.

Hivi kuna kesi gani kubwa ambayo Lissu amewahi kushinda? Anyone.
Kesi ipi lissu alishindwa?
Kwa sasa jpm ni mgombea,Sheria hairuhusu wagombea kutoa hela
 
Huyo mzee wako labda alikuwa hafanyi kazi serikali hakuna mstaafu wa serikali asiyepata pension yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Unless anamatatizo ya record zake za kuajialiwa.
Tena mate Chini,usiongee mbele za watu maneno hayo.uncle wangu 2017 kastaafu na alikua ticha tumpaka Leo hakalipwa.
 
Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.

Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.

Aisee watu ni waoga ati! Lile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.

Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.

1.Baba yangu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwa sasa.

2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria halafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.

3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.

Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Umeongea ukweli Mtupu
 
Kwa taatifa yako nadhani upo nyuma ya teknolojia. Alishajibiwa post za mwanzo kabisa na wadau.
Ukitumia link mnajiunga zaidi ya 300 kwa kundi moja. Uki add member kwa njia ya kawaida inagoma. Nina group jingine la wafugaji nilijiunga kupitia link tupo Zaidi ya 300 in one group. Mfyuuuu!!
Umebadili gia angani? Mwanzo ulisema ni group la telegram ndio mko zaidi ya mia tatu
 
Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.

Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.

Aisee watu ni waoga ati! Lile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.

Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.

1.Baba yangu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwa sasa.

2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria halafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.

3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.

Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Ufipa ufipa ufipa toka mwaka 92 matumaini ni haya haya! Mtajifunza lini? CCM chama dune Afrika na dunia nzima, kuiangusha mtasubiri sana! Uzuri wa CCM ni kujibadili kuendana na wakati, toka enzi za kujivua gamba (mkamchukua Edo) hadi CCM mpya ya Magu! Upinzani kwa style wanayo enda nayo kuishinda CCM mtasubiri sana! Niwape siri nyingine tushaingiza jasusi membe, namuona na lisu Jana anacheka nalo, mko uchi kabisa! Mtakuja kushituka mshazeeka
 
Kwenye familia yetu, mheshimiwa Lissu anakura sita mpaka sasa. Yakwangu, baba, mama, mdogo wangu, kaka yangu na mke wangu.
Binafsi ni muhanga pia wa serikali hii, kwenye suala la urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu, hapo zamani tulikua tunalipa asilimia 8 kama marejesho lakini serikali hii ikabadili sheria kwa ubabe na kuanza kutukata asilimia 15.
Mzazi wangu mmoja pia ni muhanga, amestaafu lakini amekuja kupewa mafao madogo sana kutokana na sheria zao mbovu walizotuletea.
Nitaendelea kumtafutia Lissu kura zaidi kwa watu mbali mbali wanaonizunguka.
Hebu nikumbushe kuhusubwastafu sheria ile ilisitishwa inayotumika ya miaka yote walisema mpaka 2022 ndo watapata jibu la sheria mpya sasa mfuko upi ambao umeanza na sheria mpya wakati kikokotozi ni kile kile ?
 
Jazaneni upepoo... mkimaliza kakojoeni mlale. Kweli mtu na akili zake unakuja kutuambia eti group lako la WhatsApp linakupa taswira ya jinsi Tanzania nzima inavyomkubali Lissu? Hivi zinakutosha kweli?

Umeacha kazi ya Serikali umeenda kufanya biashara na mpaka leo unasurvive meaning mazingira ya biashara yaliyowekwa na Serikali ni mazuri inabidi ushukuru kwa hilo. Nilitegemea useme upo kijiweni huna kazi. Unalalamika umepata Div.1 halafu ukapelekwa kufundisha shule ya msingi, nani alikuambia watu failure ndo wanatakiwa kufundisha shule ya msingi? Yaani wewe ni bora ulivyoacha kufundisha, maana ungeharibu watoto wetu.
Kuacha kazi ni moja ya kujikwamua mana mshahara wa serikali ni mchache usio weza kuleta maendeleo ya mtu binafsi
 
Kweli Time Will tell.
Naanza kuyaona. Huu upepo wa upinzani jiwe anang'oka mwaka huu.
 
Back
Top Bottom