Kundi linalomtetea Mbowe lidhibitiwe na serikali

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Kuna kundi ovu la watu limejitokeza likijifanya linamtetea sana Freeman Mbowe. Mbowe ni raia kama walivyo raia wengine kukamatwa kwake ni jambo la kawaida. Kwani kwa siku wanakamatwa raia wangapi kwa tuhuma mbalimbali?

Mbowe anatuhumiwa kufanya vitendo vya kigaidi, wewe unashinda na kukesha au kulala na Mbowe kila siku? Unajuaje mambo yake anayoyafanya sirini? Tuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina vitengo mahsusi vya kiintelijensia vya kupata taarifa za siri.

Hili kundi tulikatae na kulikekemea kwa nguvu zetu zote, limekuwa likitumia ukabila, udini, ukanda na kila aina ya uongo kuhalalisha malengo yao. Sisi kaskazini tuko vizuri na serikali ya mama yetu na tunamwamini sana. Ndani ya huu muda mfupi angefanya nini?

Amepandisha vyeo watumishi wote wa umma, anaendeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM, Huduma zote muhimu zinaendelea km kawaida na zingine zimeboreshwa zaidi. Hili kundi ambalo kazi yake ni kukaa nyuma ya screen kuanzia asb mpk jioni nafikiri linalipwa ili litumike kutekeleza huo ugaidi wa kiongozi wao.

Hawa wanalipwa wanakula nini kuanzia asb mpk usk ni kuanzisha topic za uchochezi na kuleta chokochoko. Hawa wamepanga pa kukimbilia mambo yakiharibika maana kiongozi wao mwingine yuko nje ya nchi akiratibu ushenzi wote huu.

Sisi tutakimbilia wapi, tuwakatae, tuwasute tuwaogope kuliko Corona na magonjwa mengine hatari km UKIMWI na Ukoma.
 
Mpumbavu wewe usitishe watu
 
Hicho kitengo mahsusi cha Intelejensia mbona hakisemi kuhusu matukio mengine ya akina Ben Saanane,Lissu,Azory nk
Au kipo mahsusi kwa ajili ya akina Mbowe tu??
 
Madhara ya kukulia kwa shemeji hayafutiki hata ukizeeka.
 
Magaidi ni wale waliompiga lissu risasi 16 halafu wanasema serikali haijui Nani waliompiga lakini Cha ajabu waziri wa serikali hiyohiyo alimpigia mkewe simu asaidie polisi waondoe CCTV kamera zilizorekodi tukio la lissu kushambuliwa. Sasa swali linakuja je mbowe na serikali Nani gaidi?
 
Acha ujinga wako ugaidi upi? Naona umeamua kusaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani, hupati uteuzi kwa kushinikiza mbowe abambikiwe kesi, huu udikiteta wa enzi wa mtukufu magufuli tukijua umeisha , acheni kumshauri mama afanye mambo ya hovyo aje kurengwa na jumuia za kimataifa Nchi iporomoke kiuchumi
 
Mbowe ajitokeze atuambie ni kwa nini matukio ya wanasiasa kupotea hutokea sana uchaguzi wa uenyekiti wa CHADEMA unapokaribia?
Mwanza kongamano la kudai katiba mpya lina uhusiano gani na uchaguzi wa mwenyekiti wa chadema?
 
Reactions: G4N
Mbowe ajitokeze atuambie ni kwa nini matukio ya wanasiasa kupotea hutokea sana uchaguzi wa uenyekiti wa CHADEMA unapokaribia?
Tuanze na kalemani kumpigia simu mkewe atoe CCTV camera je kwaajili gani?
 
Reactions: G4N
UPUUZI MTUPU!
 
Kama ushahidi upo na umekamilika Mbowe na wenzie wafikishwe mahakamani haraka.

La waachiwe.
 
Mwisho wa CCM unazidi kukaribia maana humo ndani mwao si salama tena.
 
Reactions: G4N
Mbulukenge wewe!!
 
Hujitambui wewe kaa kimya.
 
Reactions: G4N

Serekali ya majizi ya kura bado inatumia mbinu za karne iliyopita kubambikia kesi wapinzani! Hizo mbinu zilifanikiwa enzi za kina Mahita watu wakiwa bado usingizini ila sio sasa. Kwa sasa wananchi wanawachora tu. Hizi propaganda za kizee mtawapelekea watu wa vijijini wasiojua lolote.
 
Reactions: G4N
Kama yezebeli kakutuma mwambie hata ambambikie kuwa alimwekea bomu ili limlipue hatutatishika sisi tunataka katiba mpya.
 
Reactions: G4N
Yaani wewe unaamini jumuiya ya kimataifa itaside na chama chenye mbunge mmoja badala ya serikali ambayo ndiyo wanamaslahi nayo!! Upo brainwashed sana!! Kajifunze Rwanda kwa Kagame, na udikteta wake wote lakini hao jumuiya ya kimataifa kila siku wanamsifia. Jumuiya ya kimataifa wanaangalia maslahi yao mzee baba, siyo ya CDM wala CCM
 
Reactions: G4N
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…