kenge mamako aliyeacha kuvaa kondomu kuzuia mimba yakoMbulukenge wewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kenge mamako aliyeacha kuvaa kondomu kuzuia mimba yakoMbulukenge wewe!!
Kama ushahidi upo na umekamilika Mbowe na wenzie wafikishwe mahakamani haraka.
La waachiwe.
Wazir wa fedha wa Tanzania bwana mwigulu nchemba anamiliki kampuni ya kagari ( source, raiya mwema)Kuna kundi ovu la watu limejitokeza likijifanya linamtetea sana Freeman Mbowe. Mbowe ni raia km walivyo raia wengine kukamatwa kwake ni jambo la kawaida. Kwani kwa siku wanakamatwa raia wangapi kwa tuhuma mbalimbali?
Mbowe anatuhumiwa kufanya vitendo vya kigaidi, wewe unashinda na kukesha au kulala na Mbowe kila siku? Unajuaje mambo yake anayoyafanya sirini? Tuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina vitengo mahsusi vya kiintelijensia vya kupata taarifa za siri.
Hili kundi tulikatae na kulikekemea kwa nguvu zetu zote, limekuwa likitumia ukabila, udini, ukanda na kila aina ya uongo kuhalalisha malengo yao. Sisi kaskazini tuko vizuri na serikali ya mama yetu na tunamwamini sana. Ndani ya huu muda mfupi angefanya nini?
Amepandisha vyeo watumishi wote wa umma, anaendeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM, Huduma zote muhimu zinaendelea km kawaida na zingine zimeboreshwa zaidi. Hili kundi ambalo kazi yake ni kukaa nyuma ya screen kuanzia asb mpk jioni nafikiri linalipwa ili litumike kutekeleza huo ugaidi wa kiongozi wao.
Hawa wanalipwa wanakula nini kuanzia asb mpk usk ni kuanzisha topic za uchochezi na kuleta chokochoko. Hawa wamepanga pa kukimbilia mambo yakiharibika maana kiongozi wao mwingine yuko nje ya nchi akiratibu ushenzi wote huu.
Sisi tutakimbilia wapi, tuwakatae, tuwasute tuwaogope kuliko Corona na magonjwa mengine hatari km UKIMWI na Ukoma.
Chadema kwa kujifariji hamjambo ila yakiitishwa maandamano hamtokei.Mwisho wa CCM unazidi kukaribia maana humo ndani mwao si salama tena.
kwa nini mbowe alimkimbiza lissu Nairobi?Magaidi ni wale waliompiga lissu risasi 16 halafu wanasema serikali haijui Nani waliompiga lakini Cha ajabu waziri wa serikali hiyohiyo alimpigia mkewe simu asaidie polisi waondoe CCTV kamera zilizorekodi tukio la lissu kushambuliwa. Sasa swali linakuja je mbowe na serikali Nani gaidi?
Wamefungua I'd nyingi kweli toka Jana wanaanzisha mada na kuchangia wenyeweID za kimkakati
ID yako ya zamani ni ipi?Kuna kundi ovu la watu limejitokeza likijifanya linamtetea sana Freeman Mbowe. Mbowe ni raia km walivyo raia wengine kukamatwa kwake ni jambo la kawaida. Kwani kwa siku wanakamatwa raia wangapi kwa tuhuma mbalimbali?
Mbowe anatuhumiwa kufanya vitendo vya kigaidi, wewe unashinda na kukesha au kulala na Mbowe kila siku? Unajuaje mambo yake anayoyafanya sirini? Tuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina vitengo mahsusi vya kiintelijensia vya kupata taarifa za siri.
Hili kundi tulikatae na kulikekemea kwa nguvu zetu zote, limekuwa likitumia ukabila, udini, ukanda na kila aina ya uongo kuhalalisha malengo yao. Sisi kaskazini tuko vizuri na serikali ya mama yetu na tunamwamini sana. Ndani ya huu muda mfupi angefanya nini?
Amepandisha vyeo watumishi wote wa umma, anaendeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM, Huduma zote muhimu zinaendelea km kawaida na zingine zimeboreshwa zaidi. Hili kundi ambalo kazi yake ni kukaa nyuma ya screen kuanzia asb mpk jioni nafikiri linalipwa ili litumike kutekeleza huo ugaidi wa kiongozi wao.
Hawa wanalipwa wanakula nini kuanzia asb mpk usk ni kuanzisha topic za uchochezi na kuleta chokochoko. Hawa wamepanga pa kukimbilia mambo yakiharibika maana kiongozi wao mwingine yuko nje ya nchi akiratibu ushenzi wote huu.
Sisi tutakimbilia wapi, tuwakatae, tuwasute tuwaogope kuliko Corona na magonjwa mengine hatari km UKIMWI na Ukoma.
Ya kwako ya kumtetea Gaidi Mbowe!ID za kimkakati
Walio nyuma ya keyboard wanamtetea kwa hoja njoo na hoja tukubaliane na wewe hizo ulizoandika ni wajibu hazihalalishi yaliyopo.Kuna kundi ovu la watu limejitokeza likijifanya linamtetea sana Freeman Mbowe. Mbowe ni raia kama walivyo raia wengine kukamatwa kwake ni jambo la kawaida. Kwani kwa siku wanakamatwa raia wangapi kwa tuhuma mbalimbali?
Mbowe anatuhumiwa kufanya vitendo vya kigaidi, wewe unashinda na kukesha au kulala na Mbowe kila siku? Unajuaje mambo yake anayoyafanya sirini? Tuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina vitengo mahsusi vya kiintelijensia vya kupata taarifa za siri.
Hili kundi tulikatae na kulikekemea kwa nguvu zetu zote, limekuwa likitumia ukabila, udini, ukanda na kila aina ya uongo kuhalalisha malengo yao. Sisi kaskazini tuko vizuri na serikali ya mama yetu na tunamwamini sana. Ndani ya huu muda mfupi angefanya nini?
Amepandisha vyeo watumishi wote wa umma, anaendeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM, Huduma zote muhimu zinaendelea km kawaida na zingine zimeboreshwa zaidi. Hili kundi ambalo kazi yake ni kukaa nyuma ya screen kuanzia asb mpk jioni nafikiri linalipwa ili litumike kutekeleza huo ugaidi wa kiongozi wao.
Hawa wanalipwa wanakula nini kuanzia asb mpk usk ni kuanzisha topic za uchochezi na kuleta chokochoko. Hawa wamepanga pa kukimbilia mambo yakiharibika maana kiongozi wao mwingine yuko nje ya nchi akiratibu ushenzi wote huu.
Sisi tutakimbilia wapi, tuwakatae, tuwasute tuwaogope kuliko Corona na magonjwa mengine hatari km UKIMWI na Ukoma.
Kuna kundi ovu la watu limejitokeza likijifanya linamtetea sana Freeman Mbowe. Mbowe ni raia kama walivyo raia wengine kukamatwa kwake ni jambo la kawaida. Kwani kwa siku wanakamatwa raia wangapi kwa tuhuma mbalimbali?
Mbowe anatuhumiwa kufanya vitendo vya kigaidi, wewe unashinda na kukesha au kulala na Mbowe kila siku? Unajuaje mambo yake anayoyafanya sirini? Tuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina vitengo mahsusi vya kiintelijensia vya kupata taarifa za siri.
Hili kundi tulikatae na kulikekemea kwa nguvu zetu zote, limekuwa likitumia ukabila, udini, ukanda na kila aina ya uongo kuhalalisha malengo yao. Sisi kaskazini tuko vizuri na serikali ya mama yetu na tunamwamini sana. Ndani ya huu muda mfupi angefanya nini?
Amepandisha vyeo watumishi wote wa umma, anaendeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM, Huduma zote muhimu zinaendelea km kawaida na zingine zimeboreshwa zaidi. Hili kundi ambalo kazi yake ni kukaa nyuma ya screen kuanzia asb mpk jioni nafikiri linalipwa ili litumike kutekeleza huo ugaidi wa kiongozi wao.
Hawa wanalipwa wanakula nini kuanzia asb mpk usk ni kuanzisha topic za uchochezi na kuleta chokochoko. Hawa wamepanga pa kukimbilia mambo yakiharibika maana kiongozi wao mwingine yuko nje ya nchi akiratibu ushenzi wote huu.
Sisi tutakimbilia wapi, tuwakatae, tuwasute tuwaogope kuliko Corona na magonjwa mengine hatari km UKIMWI na Ukoma.
Hao Polisi wa kwetu ambao hata upatikanaji wao, sifa mpjawaponi kuwa na ufaulu mdogo katika masomo, ndiyo unasema kuna vitengo mahsusi?Kuna kundi ovu la watu limejitokeza likijifanya linamtetea sana Freeman Mbowe. Mbowe ni raia kama walivyo raia wengine kukamatwa kwake ni jambo la kawaida. Kwani kwa siku wanakamatwa raia wangapi kwa tuhuma mbalimbali?
Mbowe anatuhumiwa kufanya vitendo vya kigaidi, wewe unashinda na kukesha au kulala na Mbowe kila siku? Unajuaje mambo yake anayoyafanya sirini? Tuamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina vitengo mahsusi vya kiintelijensia vya kupata taarifa za siri.
Hili kundi tulikatae na kulikekemea kwa nguvu zetu zote, limekuwa likitumia ukabila, udini, ukanda na kila aina ya uongo kuhalalisha malengo yao. Sisi kaskazini tuko vizuri na serikali ya mama yetu na tunamwamini sana. Ndani ya huu muda mfupi angefanya nini?
Amepandisha vyeo watumishi wote wa umma, anaendeleza miradi yote iliyoanzishwa na JPM, Huduma zote muhimu zinaendelea km kawaida na zingine zimeboreshwa zaidi. Hili kundi ambalo kazi yake ni kukaa nyuma ya screen kuanzia asb mpk jioni nafikiri linalipwa ili litumike kutekeleza huo ugaidi wa kiongozi wao.
Hawa wanalipwa wanakula nini kuanzia asb mpk usk ni kuanzisha topic za uchochezi na kuleta chokochoko. Hawa wamepanga pa kukimbilia mambo yakiharibika maana kiongozi wao mwingine yuko nje ya nchi akiratibu ushenzi wote huu.
Sisi tutakimbilia wapi, tuwakatae, tuwasute tuwaogope kuliko Corona na magonjwa mengine hatari km UKIMWI na Ukoma.