Kundi linalomtetea Mbowe lidhibitiwe na serikali

Lidhibitiwe haraka hilo kundi na wapgwe sn na kupewa kesi ya ugaidi
 
Hakuna ushahidi wewe!!! Acha KUKURUPUKA kuendeleza uzushi.
Kama ushahidi upo na umekamilika Mbowe na wenzie wafikishwe mahakamani haraka.

La waachiwe.
 
Wazir wa fedha wa Tanzania bwana mwigulu nchemba anamiliki kampuni ya kagari ( source, raiya mwema)
 
Tatizo ni kundi ni kubwa kuliko serikali yenyewe
 
kwa nini mbowe alimkimbiza lissu Nairobi?
aliogopa ukweli kujulikana?
 
ID yako ya zamani ni ipi?
 
Walio nyuma ya keyboard wanamtetea kwa hoja njoo na hoja tukubaliane na wewe hizo ulizoandika ni wajibu hazihalalishi yaliyopo.
 
Samia ni dictator jambazi wa kisiasa kama magufuli tu tutaona mwisho wake
 

Hizi ndo akili za wana CCM. Utadhani wanaandika wakiwa mochuari!

Hivi haya majitu yalirogwa na nani?!!
 
Hao Polisi wa kwetu ambao hata upatikanaji wao, sifa mpjawaponi kuwa na ufaulu mdogo katika masomo, ndiyo unasema kuna vitengo mahsusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…