Uchaguzi 2020 Kundi lipi litawaadhibu/ kuwabeba Magufuli na Lissu katika sanduku la kura?

Kwani We unaishi Ulaya au huu uchaguzi ni Wa Ulaya Ongelea Mazingira yanayokuzunguka yaani Mabeberu yameafanya hata kufikiria lazima uwaze Ulaya hahahhaa
Kwa siasa zinazofanyika nchini, hasa na chama chakavu, nakubaliana kabisa na yale maneno ya yule kocha wa YANGA, aliyowaambia mashabiki!! Ndio ukweli huo kwa sisi waafrika!! Yaani mtu anaibiwa fomu ya uteuzi, anaenda polisi, anapewa rb, kumbe fomu iliyoibiwa ipo polisi!! Anaambiwa mbona sahihi zinatofautiana? Upuuzi kama huu wapi dunia iliyoendelea utakutana nao? Waafrika uwezo wetu wa kufikiria una matatizo sana, ndio maana watu kama LISU, wanaonekana kama wakorofi kwani akili yake inaendana na za watu weupe!!! Hata wakenya kidogo wanaenda kwenye dunia iliyostarabika kidogo, ndio maana kiongozi kwao kusemwa vibaya sio inshu, lakini nchini ile bora umseme mungu vibaya kuliko kiongozi yule!!!
 
Sory mkuu kwenye picha huyo lisau ni yupi na huyo magufuli ndie yupi[emoji134]
 
Wamachinga au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…