Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,831
Habarini wapendwa,"
Nimepita jana maeneo ya kule Kunduchi /Meko/Mtongani, kuna upimaji wa maeneo yaliyo jengwa na viwanja baada ya kurasimishwa, tatizo nililoliona kuna utapeli unafanyika.
Mhe. Lukuvi alitangaza mwaka Jana mwezi Aprili kuwa gharama za kupimiwa kiwanja ni TSH 150,000/= Sasa huku mwenyekiti wa CCM wa kata Bw. Mdoe na diwani wake ndg Urio kwa kushirikiana na mwenyekiti wa Serikali ya mtaa, wamewapandishia gharama wananchi kuwa inatakiwa walipe TSH 250,000 Kwa maelezo kwamba kiasi kinachozidi cha TSH 100,000/= kinatumika kwenye mfuko wa chama na mtaa, asiyetaka hapimiwi.
Hivi kweli ndio utaratibu mpya upo hivi wapendwa?
Nimepita jana maeneo ya kule Kunduchi /Meko/Mtongani, kuna upimaji wa maeneo yaliyo jengwa na viwanja baada ya kurasimishwa, tatizo nililoliona kuna utapeli unafanyika.
Mhe. Lukuvi alitangaza mwaka Jana mwezi Aprili kuwa gharama za kupimiwa kiwanja ni TSH 150,000/= Sasa huku mwenyekiti wa CCM wa kata Bw. Mdoe na diwani wake ndg Urio kwa kushirikiana na mwenyekiti wa Serikali ya mtaa, wamewapandishia gharama wananchi kuwa inatakiwa walipe TSH 250,000 Kwa maelezo kwamba kiasi kinachozidi cha TSH 100,000/= kinatumika kwenye mfuko wa chama na mtaa, asiyetaka hapimiwi.
Hivi kweli ndio utaratibu mpya upo hivi wapendwa?