Kunenepesha kuku wa nyama

Kunenepesha kuku wa nyama

Habari za majukumu wanajamvi,

Nahitaji kujua njia bora na salama za kutumia ili kuku wa nyama waweze kuwa na uzito mkubwa kuanzia kilo mbili kwa muda wa mwezi mmoja.

Natanguliza shukrani.
Kwa mwezi hawawezi kufikisha kilo 2 ...usidanganywe.
Kwa mujibu wa chat zoote za ulishaji kuku wa mwezi huwa na kati ya gramu 977-1200. Kuringana na ubora wa chakula.
 
Tumia chakula bora, brand kubwa na za bei kubwa sokoni
Joto stahiki siku 7 za mwanzo
Chakula masaa 24 wiki 3 za mwanzo
JItahidi wasiumwe bila sababu maan itapunguza ukuaji.

KWa mwezi 1 labda 1.8 kg
Hii inategemea na maeneo. Kwa sisi haoa Mafinga, baridi ni kali ukuaji unakuwa mdogo tofauti na maeneo yenye joto.
 
Hii inategemea na maeneo. Kwa sisi haoa Mafinga, baridi ni kali ukuaji unakuwa mdogo tofauti na maeneo yenye joto.
Technology ndo hatuna ukiwa na hiyo mbinu mambo yote safi fikilia ulaya baridi lake uwa ni -10 na bado wako vizuri maana yake wangekufa Kwa njaa kule ila waliwekeza nguvu kwenye utafiti na mambo ni mazuri sana
 
vifaranga umenunua wapi kwanza
pili chakula gani unatumia
tatu eneo lako ni ukubwa gani je linaendana na idadi uliyoweka
je magonjwa gani unapitia katika ufugaji wako
joto la eneo
aina ya banda nk
 
Ushauri, serikali ichukue hao wanaitwa maprofesa wa SUA wapelekwe uingereza, sio kusoma, Ila kulisha kuku kwa miezi sita, wakirudi tutafika mahali Kwenye ufugajj, vinginevyo tutaendelea kudanganyana sana
 
Ushauri, serikali ichukue hao wanaitwa maprofesa wa SUA wapelekwe uingereza, sio kusoma, Ila kulisha kuku kwa miezi sita, wakirudi tutafika mahali Kwenye ufugajj, vinginevyo tutaendelea kudanganyana sana
mbona watu wanafuga sana na wanafika huo uzito nafikiri elimu ishuke kwa kila mkulima na wakulima wafundishike

na tatizo kubwa liko kwa baadhi ya wazalishaji wa vifaranga hasa wasio makampuni makubwa kuzalisha vifaranga vibovu,chakula kisichoa na CP ya kutosha na mambo kama hayo
 
mbona watu wanafuga sana na wanafika huo uzito nafikiri elimu ishuke kwa kila mkulima na wakulima wafundishike

na tatizo kubwa liko kwa baadhi ya wazalishaji wa vifaranga hasa wasio makampuni makubwa kuzalisha vifaranga vibovu,chakula kisichoa na CP ya kutosha na mambo kama hayo
Mbona hatuwaoni kwenye mabanda ya nanenane hao kuku wa mwezi 1 wenye kilo mbili wanaofugwa na wataalamu? Nini maana ya maonyesho ya wakulima
 
Back
Top Bottom