Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu yupi,non-living and living things originate from the supernatural powers (God) including stonesKweli hao kuku ni viumbe wa Mungu? natafakari tu
hawa wa broiler ni kawaida kufika huo uzito kwa wiki nne ndugu wacha ubishi uliza upewe majina ya kampuni bora ya vifanga pamoja na chakula pia fuata utalamu siku ya 30 tayari wanakua na uzito wa kilo2,siku ya 42 wanakua na kilo3.6Mbona hatuwaoni kwenye mabanda ya nanenane hao kuku wa mwezi 1 wenye kilo mbili wanaofugwa na wataalamu? Nini maana ya maonyesho ya wakulima
Halafu analishwa nani,nyau,wou ama Ntu?Kuna zile za kufubaza makali ya ukimwi a.k.a ARV
Kwahiyo nini ushauri wako juu ya hoja ya mdau?Hili swali limekuja baada ya mkwara wa wakaguzi kutaka kupita banda hadi banda kukagua kuku wanaolishwa Arv
Kaka nahitaji mwongozo Wako maana naingiza hao viumbe hivi punde, Banda tayari pamoja na maandalizi mengine. Tusaidiane nduguhawa wa broiler ni kawaida kufika huo uzito kwa wiki nne ndugu wacha ubishi uliza upewe majina ya kampuni bora ya vifanga pamoja na chakula pia fuata utalamu siku ya 30 tayari wanakua na uzito wa kilo2,siku ya 42 wanakua na kilo3.6
Acha hii tabia mkuuKuna zile za kufubaza makali ya ukimwi a.k.a ARV
siku 28 mkuu, utumbo na miguu yake dili uswahilini,Yaan kuku mwez mmoja unamla aahgr hapana kwakwel labda kama nimeelewa vaby