Sawa lakin mm bado sijajua matumizi yake yan sijui nakosea kwasababu kila nikapata usoni huwa inanichoma sna arf nikisha nawa uso unakuwa kama umebabuka iv arf ukishakauka unakuwa kama kuna mbaa sijui tangotango yani hata sielwi ebu naomba niamby jinsi ya kutumia huwa haipakwi usoni au