Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
University of Darchuo gani mkuu?
Kuna Uzi humu nimesoma kuhusu hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
University of Darchuo gani mkuu?
urasimu wa kupata vibali unatakiwa kupunguzwa. lengo la vibali liwe ni kuzuia ujangili na si kuchuma pesa. baadaye ufugaji wa hao wanyama uwe kama wa mbuzi na ng'ombe. pia vyuo vya kilimo na ufugaji vingepewa dili ya kuzalisha na kusambaza.Unaweza kufuga. Ila unatakiwa kupata kibali kutoka MALIASILI. Kuna mwaka fulani, kule Sumbawanga kuna mtu alifuga. Ni jambo zuri sana katika kuhifadhi bionuai. Serikali yetu ingeweka sheria kuwa kila mwekezaji mwenye kiasi fulani cha eka za ardhi ya shamba; mfano kuanzia eka 500, basi lazima atenge eneo la hifadhi ya viumbe asili, ikiwa pamoja na wanyama pori. Nadhani, AFRIKA KUSINI wanafanfanya katika mashamba, sina uhakika kama ni sheria au matakwa ya mtu.
SUA, wanazalisha na kusambaza, NDEZI (Thryonomys gregorianus, Ndezi Mdogo; kama nilivyowaona -Lesser Cane Rat), pia wanatoa kibali kwa watakao nunua kwa ajili ya Kufuga.
Wale nyumbu hawafugiki bwahahahahahahaha.. Wanafaa tu kwa maandamanoooMbona nyumbu wamejaa mitaani mkuu......
Labda wanyama wengine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]DIGITAL NYUMBU...Mkuu mbona nyumbu tiar wapi wanafugwa...kuna shamba kubwa sana la nyumbu pale lumumba...
chuo gani mkuu?
Wazo zuri hata Thailand tembo hufugwa majumbani