Kungunduliwa sehemu zilizowekwa maiti nyingi huko kenya mukuru ni baada ndoto kumtokea dada yake aliyepoletewa na mdogo wake.

Kungunduliwa sehemu zilizowekwa maiti nyingi huko kenya mukuru ni baada ndoto kumtokea dada yake aliyepoletewa na mdogo wake.

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
kuna elimu hapa japo niligusia ila sikuona watu kuweka maanani ila ni ukweli kwamba roho za watu kama zijatakiwa kufa ni ngumu kuondoka.
Huyu dada alisimulia kuhusu mdogo wake alitoweka na hakupatikana ila kuna siku ndoto aliota ikimuelekeza kuhusu yeye yupo wapi ambalo eneo la mukuru na kweli wakakuta maiti ambazo mpaka sasa inaonyesha kuna maiti nyingi sana.

Msikilize:

View: https://www.youtube.com/watch?v=tOQOf9eXTUM&embeds_referring_euri=https%3A%2F%2Fwww.jamiiforums.com%2F&source_ve_path=MjM4NTE&feature=emb_title

 
Kenya kuna biashara kubwa sana ya viungo vya binadamu hasa vya wadada(Figo na Ovaries),na target kubwa ni wanafunzi wa Vyuo Vikuu,nina clip ya Daktari mmoja kakamatwa leo live pagaleni akiwa na mwenzake wakimtoa Binti ovaries,kisha mwili wanaenda kuutupa mtoni,ni biashara nzuri sana
 
Kenya kuna biashara kubwa sana ya viungo vya binadamu hasa vya wadada(Figo na Ovaries),na target kubwa ni wanafunzi wa Vyuo Vikuu,nina clip ya Daktari mmoja kakamatwa leo live pagaleni akiwa na mwenzake wakimtoa Binti ovaries,kisha mwili wanaenda kuutupa mtoni,ni biashara nzuri sana
Mpaka sasa kuna mvutano mkubwa kati ya raia wa Kenya,wakitaka kuhusisha na serikali juu ya maandamano lakini inaonekana havina uhusiano wa karibu,ila ni makundi ya kihalifu yametaka kutumia huo mwanya kupita na upepo huo
 
Serikali iwe makini na wakenya wanaochukuwa passport za tanzania,,

Baada ya miaka 20 ijayo mambo haya yote yatahamia Tanzania..

Wakenya wengi wana roho za ajabu sana.
 
Kenya kuna biashara kubwa sana ya viungo vya binadamu hasa vya wadada(Figo na Ovaries),na target kubwa ni wanafunzi wa Vyuo Vikuu,nina clip ya Daktari mmoja kakamatwa leo live pagaleni akiwa na mwenzake wakimtoa Binti ovaries,kisha mwili wanaenda kuutupa mtoni,ni biashara nzuri sana
Eeh umesema biashara nzuri sana.
 
Back
Top Bottom