Ni kungwi anayefunda wanandoa kiimani, kiutamaduni na kitanzania. Huwa anandaa sana semina na maombi kwa ajili ya kinamama ili kukabiliana ma changamoto za ndoa zao
Pole kwake....mji unaenda kwa kasi.
Ni nani au mwana jf mwenzetu?
Asante mpwa....Ni kungwi anayefunda wanandoa kiimani, kiutamaduni na kitanzania. Huwa anandaa sana semina na maombi kwa ajili ya kinamama ili kukabiliana ma changamoto za ndoa zao
Jamani jamani π π π’ π’ Pole zake dada huyu. Mungu ampe faraja.
Mimi nafundika kila siku uncleAsante mpwa....
Ukafundwe sasa.
Hewaala....kila lililo jema.Mimi nafundika kila siku uncle
AMENHewaala....kila lililo jema.
Yani kingemchukua kujimwambafy ingekuwa sherehe snSijajua huwa kifo kinatumia formula gani! Nakichukia sana kifo yaani yule msiyempenda ndio kifo nacho hakimpendi, yule mnayempenda ndio na kifo kinamkodolea macho huyo huyo
Sent using Jamii Forums mobile app