Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,810
Jamani makaka,
Unamkuta mkaka handsome, subiri muingie mahali muambiwe kuvua viatu, kwanza anajikanyaga kumbe socks zimetoboka, haya utamuonea huruma, sasa huo uvundo unaotoka miguuni, unaweza kumkana kuwa humfahamu. Kama umemkaribisha nyumbani kwako, ndioy inabidi ufungue madirisha ukidai ni joto, hata kama inabidi utupie kisweater na kibaridi hiki cha June. Wakinakaka ni nini hiki?
Mbona nyie mkivua chupi kuna harufu kwani huwa inatokea wapiJamani makaka,
Unamkuta mkaka handsome, subiri muingie mahali muambiwe kuvua viatu, kwanza anajikanyaga kumbe socks zimetoboka, haya utamuonea huruma, sasa huo uvundo unaotoka miguuni, unaweza kumkana kuwa humfahamu. Kama umemkaribisha nyumbani kwako, ndioy inabidi ufungue madirisha ukidai ni joto, hata kama inabidi utupie kisweater na kibaridi hiki cha June. Wakinakaka ni nini hiki?
Jamani mimi nikitoka na wakaka wa secondary itakuwa paedophile ya kike tena. Ni wakaka wanaofanya kazi tena wengine wanaitwa baba.
Jamani makaka,
Unamkuta mkaka handsome, subiri muingie mahali muambiwe kuvua viatu, kwanza anajikanyaga kumbe socks zimetoboka, haya utamuonea huruma, sasa huo uvundo unaotoka miguuni, unaweza kumkana kuwa humfahamu. Kama umemkaribisha nyumbani kwako, ndioy inabidi ufungue madirisha ukidai ni joto, hata kama inabidi utupie kisweater na kibaridi hiki cha June. Wakinakaka ni nini hiki?
Uvivu. Malezi mabovu tangu utoto. Familia nyingi za mjini wenye house girls hudekeza watoto wao. Kila kitu kinafanywa na house girls.Haya husababishwa na nini kutokufua socks?
Uchafu.Kwa tuliosoma bording harufu ya kitu ni dawa ya mbuu
[emoji81] [emoji1] [emoji2]Anzisha thread nyingine, hapa tunaongelea socks zilizotoboka na miguu inayonuka.
Ninadhani ni jukumu la wazazi wote wababa pia wanatakiwa kufundisha hasa watoto wa kiumeAkina Mama wafundisheni watoto wenu usafi tangu wakiwa wadogo. Wajue kuoga vizuri, wafue Nguo hasa chupi, vest, soksi, leso(kwa wavulana). Gagulo ( skin tight), chupi, sidiria, na utunzaji wa pads kuoga vizuri na kusafisha maeneo nyeti .
Wafundishe basi na watoto wako mwanaume anapaswa kumiliki pair tano au zaid za socks bazo hufuliwa kila weekendKwa hiyo ukitoka nao out wawili au watano au saba wote ukikuta soksi zao zinanuka ndiyo conc yako kama WANAUME wote tena matured wananuka miguu?
Sampling yako ni ndogo sana
Margin of error ni kubwa sana
Methodiology yako hujaiweka wazi
Chi Square au ulitumia nn?
Hitimisho:Wanaume wengi matured hatunuki miguu
Ku prove ni PM just nije uninuse miguu tu
Usafi ni Mama. Baba kuna maeneo yetu.Ninadhani ni jukumu la wazazi wote wababa pia wa atakuwa kufundisha hasa watoto wa kiume
Yote majibu mkuu