Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Fua viatu na soksi mara kwa mara. Anagalu ufue soksi kila siku au usirudie soksi.
Fua viatu vyako kisha vigandishe kwenye freezer, weka kwenye mfuko wa nylon kisha gandisha usiku kucha kuua fungi/bacteria.
Osha na Kausha miguu yako vizuri kila unaponawa/oga. Zaidi ya hapo vaa sandals na kama vipi fika hospital umuone mtaalamu
Fua viatu vyako kisha vigandishe kwenye freezer, weka kwenye mfuko wa nylon kisha gandisha usiku kucha kuua fungi/bacteria.
Osha na Kausha miguu yako vizuri kila unaponawa/oga. Zaidi ya hapo vaa sandals na kama vipi fika hospital umuone mtaalamu