Hayo maswali mawili hapo juu tu ni changamoto tosha.
Gari kukuta frame yake inakila kitu ni tatizo,halafu pia tambua unaweza kuwa unakwepa kutoa Milioni 20 - 23 kununua mpya,ukajikutandani ya mwaka huo umetoa zaidi ya hiyo bila kujijua.Na mbaya zaidi hata ukienda Hopsitali utakuta Valve za moyo zimelegea kwa kuwaza kimeo cha kuungaunga.
Ingekuwa kama 10m mtu anasimamisha gari na kuwa na amani basi wengine wangemudu kununua hiaces.
Nakushauri,kama unataka ku cut off cost,nunua hiace yenye bodi nzuri hata kama engine imekufa au mbovu then nunua engine mpya na sio used kisha funga,hapo angalau utakuwa na amani.