Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Habari wana jamii!
Mimi nataka kujikita zaidi kwenye biashara ya Daladala lakini kwa mtazamo wangu nimepiga gharama za Hiace mpya ni 20m-25m, ni hii bei hadi kukulipa inachukuwa mda usiopungua mwaka au zaidi, lakini mimi nataka niwe nanunua mabodi ya hiace yenye kila kitu kasoro Engine tu may be kwa bei ya 5m then naweka Engine mpya 3L ama 5L. Total cost inakuwa 10m-12m.
Hapo vpi wana Jamii?
Mimi nataka kujikita zaidi kwenye biashara ya Daladala lakini kwa mtazamo wangu nimepiga gharama za Hiace mpya ni 20m-25m, ni hii bei hadi kukulipa inachukuwa mda usiopungua mwaka au zaidi, lakini mimi nataka niwe nanunua mabodi ya hiace yenye kila kitu kasoro Engine tu may be kwa bei ya 5m then naweka Engine mpya 3L ama 5L. Total cost inakuwa 10m-12m.
Hapo vpi wana Jamii?