Kununua Condoms duka la mtaani kwenu ni aibu sana.

Aisee Mimi hata nimkute nani, nanunua kwa kujiamini " tafadhari muuzaji naomba Condom pakti tatu" napewa nasepa. Huwa naona aibu kama kuna watoto cyo watu wazima
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna kitu kinanipa wakati mgumu kama kwenda kununua condom, mara kibao nimerudia njiani
 
Condom s sabuni ununue ikiisha ni kitu unanunua once umepata pa kutumia so inatokea tu umepata kazi na huwez enda kariakoo kununua mkuu

Poa nimekuelewa ila jitahid kuwa na stock ya kutosha kama joto linaruhus
 
Aisee Mimi hata nimkute nani, nanunua kwa kujiamini " tafadhari muuzaji naomba Condom pakti tatu" napewa nasepa. Huwa naona aibu kama kuna watoto cyo watu wazima
Mkuu ww ni jasiri kama Raila aisee, kuna sura nikiziona lazima nihamie duka la pili.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna kitu kinanipa wakati mgumu kama kwenda kununua condom, mara kibao nimerudia njiani
Hahah, ni ngum sana hasa ukiwa mtaa wa nyumban
 
Mkuu ww ni jasiri kama Raila aisee, kuna sura nikiziona lazima nihamie duka la pili.
Mkuu jiamini, maana ni tendo la lazima kwa watu wazima. Hakuna atakayeshangaa zaidi ya kukuonea donge unaenda kuenjoy
 
niliishia kununua panado wakati siumwi,
ilikua juzi hapa na pamado zileeee juu ya meza
 
Ungeomba huyo Mama pengine na yeye angekuomba umuanze yeye kwanza. Watu wengine bwana, bahati mnazipoteza wenyewe, mtakua lini? Kuna mwanamke asiyetaka gegedo la bure?

Acha ussenge wewe, tumia akili za kawaida tu. Kuna watu wengine wa makamo huwezi kuonesha mambo yako personal mbele yao.
 
Acha ussenge wewe, tumia akili za kawaida tu. Kuna watu wengine wa makamo huwezi kuonesha mambo yako personal mbele yao.
Mama Debo mke wangu, usiku huu unatafuta nini huku ngoja nije nikupige viwili kwanza vya faster faster
 
Hahahahahahaha lol! Siku hizi mpaka kuna warembo wananunua ndom na wala hawaoni aibu yoyote ile. Wanalinda afya zao na unwanted pregnancies.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sehemu ambayo hujulikani sio shida sana mkuu kununua
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…