Kununua Dhahabu kama mbadala wa Dola kutokana na kuadimika kwa Dola ya Kimarekani Tanzania pamoja na Dunia nzima

Kununua Dhahabu kama mbadala wa Dola kutokana na kuadimika kwa Dola ya Kimarekani Tanzania pamoja na Dunia nzima

Gotze Giyani

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
127
Reaction score
194
Wadau poleni na majukumu ya kulijenga taifa.

Kama Mtanzania mwenye ndoto na malengo ya kufika mbali nimewaza na kuona njia mbadala ya kuwekeza kwa Dunia ya sasa ni kununua dhahabu. Hii imetokana na hizi siku chache kutokana na kuadimika kwa Dollars kitu ambacho sio ishara nzuri kwa wanauchumi.

Je wadau, kwa anayejua jinsi ya kunua dollars, maana kama mimi mgeni na inawezekanana mtu ukapigwa ukauziwa chupa au benki uwa zinaziuza ili iwe rahisi na vipi wadau ili wazo langu mnalionaje?

Naombeni ushauri.
 
Wadau poleni na majukumu ya kulijenga taifa.

Kama Mtanzania mwenye ndoto na malengo ya kufika mbali nimewaza na kuona njia mbadala ya kuwekeza kwa Dunia ya sasa ni kununua dhahabu. Hii imetokana na hizi siku chache kutokana na kuadimika kwa Dollars kitu ambacho sio ishara nzuri kwa wanauchumi.

Je wadau, kwa anayejua jinsi ya kunua dollars, maana kama mimi mgeni na inawezekanana mtu ukapigwa ukauziwa chupa au benki uwa zinaziuza ili iwe rahisi na vipi wadau ili wazo langu mnalionaje?

Naombeni ushauri.
kama uko Dar,nenda soko la Dhahabu liko Samora avenue opposite NMB
 
Back
Top Bottom