Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Umeuliza hapa umeambiwa unataka kupigwa huelewi,hizo bei ndogo ndio asali ya kukuvuta wakuibie,SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWALakini nasikia wao wanashikilia pesa mpaka gari likufikie ndo wanafanya malipo kwa muuzaji ama
Kwa Mara ya Kwanza niliagiza SIMU (xiaomi mi 8 lite) china tena kwenye website amabayo sio maarufu,"If you dont try, it will forever remain impossible"
genuine company. The only problem is you loose the control. Ukiitaka gari fulani na ukaset limit baada ya auctioning watakwambia hatukufanikiwa kuna mtu kabid zaidi. Unless kwenye bidding process kuwe na margin wanayoitaka wao km faida. Alternatively bid it yourselfWana jf nataka kununua gari mnadani natumia kampuni ya real Motors sasa weniambia nifanye bid halafu nitoe advance ya dollar 1500 ambayo itakuwa included kwenye manunuzi kama nikipata gari ninayohitaji sasa ninachouliza kuna mtu yoyote alishafanya manunuzi kwa njia hiyo na usalama ya pesa vp
Kama hutojali naomba namba yako mkuuIt’s a
genuine company. The only problem is you loose the control. Ukiitaka gari fulani na ukaset limit baada ya auctioning watakwambia hatukufanikiwa kuna mtu kabid zaidi. Unless kwenye bidding process kuwe na margin wanayoitaka wao km faida. Alternatively bid it yourself
Hapa umeongea point mzee, shukrani sanaI like this statement! Kwa Mara ya Kwanza niliagiza SIMU (xiaomi mi 8 lite) china tena kwenye website amabayo sio maarufu,
Nakumbuka nilipitia online market nyingi Sana za china, nakazikuta za kitapeli na watu washapigwa Sana tu, Ila baada ya utafiti wangu na kujiridhiasha nikafanya malipo na Mzigo ukifika na nimesha fanya nao biashara zaidi ya maramoja
Ushauri juu ya thread yako.
Moja ya vigezo vya kampuni feki kwa uchunguzi wangu Ni:-
1. Bidhaa kuuzwa Bei mdogo Sana
Wakati natafuta simu nilikuta website moja hivi unauza simu, sumsung s 9+ $200. Na ukinunua Moja unapata nyingene buree! Weeeeee! Nilishtuka nikaanaza kuwa na wasi wasi wakati ukiangalia amzoni Ni $ 500 mpaka $600.
Vivyo hivyo kwa magari.
Mfano: gari la mwaka 2003 wanauza $450, wakati website zingine ambazo zinafahamika kwa uaminifua na wanauza gari hiyo hiyo yenye sifa Kama zile wanauza $ 1020. Kuwa makini tapeli hao,
2. Promotion kibao, pamoja na kuwa na Bei mdogo halafu Wana promotion kibao,
Bei wameandika $ 450, then wanakuambia watakupa spea tairi, tool box, and free shipping, hapo kuwa makini.
3. Mode of payment, Kuna mifumo ya ulipaji wa fedha ambayo ni ngumu kumtrak( kufuatilia) mfano; westunion, ukilipa umeliap no follow-up
Ila mfumo Kama PayPal, unaweza kumfatilia na pesa yako ikarudi,
Fanya tafiti, jiridhishe, fanya malipo naamini uatafanikiwa Ila ukiona dalili za utapeli, acha usilazimishe.
Thanx.
real Motors ni kampuni ya ukweli usigopeWana jf nataka kununua gari mnadani natumia kampuni ya real Motors sasa weniambia nifanye bid halafu nitoe advance ya dollar 1500 ambayo itakuwa included kwenye manunuzi kama nikipata gari ninayohitaji sasa ninachouliza kuna mtu yoyote alishafanya manunuzi kwa njia hiyo na usalama ya pesa vp
Ukitaka kujua chchote kuhusu Japan ingia hapa www.digxam.comWana jf nataka kununua gari mnadani natumia kampuni ya real Motors sasa weniambia nifanye bid halafu nitoe advance ya dollar 1500 ambayo itakuwa included kwenye manunuzi kama nikipata gari ninayohitaji sasa ninachouliza kuna mtu yoyote alishafanya manunuzi kwa njia hiyo na usalama ya pesa vp
Kwenye business za mitandao inabidi uwe na roho ngumu, nimewahi kufanya business 3 na hao watu.
2 were successful by 100%, ila moja ilienda 57%. Condition niliyopata haikuwa sawa na bei.
Simshauri yeyote kwa sasa ku-trade na Tradecarview, labda kama unakuwa directed kwenye kampuni ambayo ina link hapa Tanzania.
huwatendea haki Tradecar view(TCV) na unadanganya watu hapa wasiojua.Tradecarview siyo kampuni, ni soko au display centre.
Mule unaweza kukutana na makampuni hewa.