Landed Property
Member
- Nov 17, 2011
- 40
- 7
Ni kweli hiyo utalipia hizo cost zote,na CIF yake ni zaidi ya $25000 maana ni 2008 model..siyo pesa ndogo ulizia kwanza TRA maana utaratibu wao uwa haueleweki,ulizia CIF ya gari hilo ni kiasi gani maana ni sawa na kuli importu pya..ni sawa na zile gari unazozikuta showroom lakini hazijalipiwa taxKwa kawaida Diplomats huwa hawalipi Import duty, excise duty wala VAT, wewe ambaye sio diplomat ukinunua utatakiwa kulipa. Kwenye website ya TRA kuna price list yao (TRA) na calculator ya tax ikionyesha pia na depreciation, iangalie hiyo utapata overview ya kodi. Pia huwa inawezekana kunegotiate na TRA kuhusu kiasi cha kodi, ingawa mara nyingi huwa ni wagumu sana kuelewa. Ukienda vizuri unaweza kulipa kiasi kidogo zaidi cha kodi kuliko kile ambacho ungelipa ukiimport mwenyewe.
Maelezo haya ni sahihi.Nafikiri hapo mkuu ni kufika TRA walifanyia tathimini hilo gari kwa hali ya sasa ili kupata thamani yake kisha kulipa kodi ambayo ilikuwa exempted.ukisha lipia ndipo utapata usajili kwa namba za kawaida pengine wachangiaji wengine wataleta michango zaidi
Sio mara zote. Gari la mwaka 2008 kwa sasa lina umri wa miaka mitano, haliwezi kuwa expensive kiasi cha kumtisha mnunuzi.Kodi utakayokutana nayo unaweza ukajuta.
Inategemea vigezo kadhaaMagari ya Ubalozi/UN Agency mazuri ila Kodi yake Lazima ukae
Wasalaam,
Naomba msaada kwa anayefahamu.
Ninataka kununua gari kutoka kwa mfanyakazi wa Ubalozi hapa Tanzania. Gari limesajiliwa kwa namba za kibalozi T---CD---. naamini huwa magari haya yanakuwa hayajalipiwa baadhi ya kodi.
Gari lina taarifa hizi;
Aina - Land Cruiser Prado
Mwaka wa kusajiliwa - 2008
Mwaka wa kutengenezwa - 2008
Nat
Mtafute clearing agent mpe details za gari akuangalizie gharama itakuwa ni sh ngapi.Kawaida Diplomats wako exempted kodi zote.Wao hulipa gharama za bandari na clearing charges tu. Jambo lingine la kujua ni je toka limeingizwa nchini lina miaka mingapi? Hapo utafaidika na depreciation charges zake. Ukiwa na maswali zaidi nicheki PM.Wasalaam,
Naomba msaada kwa anayefahamu.
Ninataka kununua gari kutoka kwa mfanyakazi wa Ubalozi hapa Tanzania. Gari limesajiliwa kwa namba za kibalozi T---CD---. naamini huwa magari haya yanakuwa hayajalipiwa baadhi ya kodi.
Gari lina taarifa hizi;
Aina - Land Cruiser Prado
Mwaka wa kusajiliwa - 2008
Mwaka wa kutengenezwa - 2008
Natanguliza shukurani