Landed Property
Member
- Nov 17, 2011
- 40
- 7
Wasalaam,
Naomba msaada kwa anayefahamu.
Ninataka kununua gari kutoka kwa mfanyakazi wa Ubalozi hapa Tanzania. Gari limesajiliwa kwa namba za kibalozi T---CD---. naamini huwa magari haya yanakuwa hayajalipiwa baadhi ya kodi.
Gari lina taarifa hizi;
Aina - Land Cruiser Prado
Mwaka wa kusajiliwa - 2008
Mwaka wa kutengenezwa - 2008
Natanguliza shukurani
Naomba msaada kwa anayefahamu.
Ninataka kununua gari kutoka kwa mfanyakazi wa Ubalozi hapa Tanzania. Gari limesajiliwa kwa namba za kibalozi T---CD---. naamini huwa magari haya yanakuwa hayajalipiwa baadhi ya kodi.
Gari lina taarifa hizi;
Aina - Land Cruiser Prado
Mwaka wa kusajiliwa - 2008
Mwaka wa kutengenezwa - 2008
Natanguliza shukurani