Kununua gari toka Zanzibar kuleta Bara

Kununua gari toka Zanzibar kuleta Bara

Msingida

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,239
Reaction score
11,731
Habari za majukumu wapendwa.
Kuna jamaa yangu anatarajia kununua Vits kutoka Zanzibar kuileta bara,kuna gharama gani ajiandae kuzilipa?Wenye ujuzi na mambo haya msaada tafadhali.
 
Kwa mwenye kufahamu,msaada tafadhali
 
Mshauri atafute hapa tuu, usumbufu halafu ukipiga hesabu inakuja palepale na bei za huku
 
Ajiandae na gharama zifuatazo;
  • ATALIPIA KODI YOOOTE KULE KULE IKIJA BONGO ANASAJILI TU.
  • ATALIPIA KIBALI CHA KUSAFIRISHA GARI KUTOKA ZNZ KUJA BONGO.
  • ATALIPIA GHARAMA ZA KUSAFIRISHA GARI KAMA ITALETWA NA SEA LINK.
  • VILE VILE KUTAKUWA NA GHARAMA YA CLEARING AGENT BUT HII MTA NEGOTIATE,
 
Ajiandae na gharama zifuatazo;
  • ATALIPIA KODI YOOOTE KULE KULE IKIJA BONGO ANASAJILI TU.
  • ATALIPIA KIBALI CHA KUSAFIRISHA GARI KUTOKA ZNZ KUJA BONGO.
  • ATALIPIA GHARAMA ZA KUSAFIRISHA GARI KAMA ITALETWA NA SEA LINK.
  • VILE VILE KUTAKUWA NA GHARAMA YA CLEARING AGENT BUT HII MTA NEGOTIATE,
Roughly kwa gari ya million 8 itagharimu kiasi gani?
 
Gharama zitakusumbua sana. Wengi wanalalamika. Zanzibar utapata gari kwa bei rahisi sana lakini kimbembe utakapiisafirisha na kukutana na tra ndo utaisoma. Check na tra kabla ya kufanya manunuzi
 
1-Gharama ya Kupakia na kuchukua kibali zanzbar ni lak 350 kwa hyo gar ndogo 2-kama imelipiwa ushuru zenji huku utalipa kias tu cha pesa tra kwa ajil ya usajil kwa vits ni Kama. m1.5 halaf atawasiliana na agents watabargain bei hapo Inategeme na uongeaji wako
 
Roughly kwa gari ya million 8 itagharimu kiasi gani?
Ushuru hauangalii gari umenunua kiasi gani,aina ya gari na mwaka wake na kama imetumika huko znz ndio vinavyotia picha ya kiasi utakacholipia.

Japo kwa ufupi kama walivyosema wengine,znz nafuu kulinganisha na hapa ama kuagiza moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom