xb664
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 200
- 129
Zanzibar ni rahis mno kuliko watu wanasema..,Mimi nilinunua Lexus is 200 mpya kwa kiasi cha Tsh milioni sita tu,mpaka inafika bongo Ná kui sajili na kuanza kutumia ilifika milioni 9.5 tu.Kwakwel kwa Zanzibar utapata gari kwa being nafuu Ná itakuwa haijachezewa kama hapa Dar.
Sent from my GT-P5200 using JamiiForums mobile app