Kununua malaya kulitaka kunitoa roho DR Congo

Kununua malaya kulitaka kunitoa roho DR Congo

malaya hulali nae mpaka asubuhi unamgonga unamlipa anasepa
Just in case una vitu vya thamani na umeamua ulale na malaya mpaka asubuhi yaan unataka kupiga ndefu umenielewa unataka kupiga na ya ukumbusho basi hakikisha unafanya yafuatayo:

Hakikisha unaongea na mlinzi getini kua huyu ni Malaya nimemuokota huko sina Imani nae hata kidogo na nna vitu vya thamani anaweza akanipiga tukio kwa hio humu chumbani kwangu asitoke bila ruhusa yangu na pale getini asipite km sijamruhusu apite yaan tumeingia wote tutatoka wote asitoke mtu peke yake maana Malaya wana michezo ya kulewesha watu wanawaibia alafu wanawakimbia anakuja kuamka hana kitu chochote na Malaya hayupo kakimbia

Hakikisha unampa funguo mlinzi afunge mlango wa chumba chako ulicholala na huyo Malaya afunge kwa nje alafu akaendelee na kazi zake za ulinzi unamuachia namba yako na wewe chukua ya kwake baada ya hapo mpoze kidogo mlinzi hela ya kahawa na kukulinda 5k/10k/15k/20k/25k vyovyote utakavyoweza sio mbaya mlinzi ukimpa hivyo atakulindia hata paka wako

Hakikisha vitu vya thamani baadhi aidha unamuachia mlinzi au unaacha reception, usiende kulala na vitu vya thamani km Pesa nyingi na vingine ukiwa na Malaya, kabidhi vitu hivyo kwa mlinzi au reception wakutunzie sana sana ukiwa umelewa au umetumia kilevi wewe utasahau Ila reception na mlinzi hua hawasahau na hawawezi kukuibia hata iweje

Kukikucha ukihitaji funguo mpigie simu mlinzi getini aje awafungulie hapo Malaya hakimbii hata awe mwizi vipi labda apenye dirishani
 
Najua wakati huo kiwango chako cha ujinga kilikuwa juu sana.

Nina ela nyingi kiasi hicho silali na mwanamke simjui labda awe mke wangu wa ndoa.
Uasheati na uzinzi ni uchafu. Msiukaribie.
Uasherati sio uasheati bibi mwalimu wako alikufundishaga ujinga??

nb: Mtenda hutendwa [emoji108]
 
Just in case una vitu vya thamani na umeamua ulale na malaya mpaka asubuhi yaan unataka kupiga ndefu umenielewa unataka kupiga na ya ukumbusho basi hakikisha unafanya yafuatayo:

Hakikisha unaongea na mlinzi getini kua huyu ni Malaya nimemuokota huko sina Imani nae hata kidogo na nna vitu vya thamani anaweza akanipiga tukio kwa hio humu chumbani kwangu asitoke bila ruhusa yangu na pale getini asipite km sijamruhusu apite yaan tumeingia wote tutatoka wote asitoke mtu peke yake maana Malaya wana michezo ya kulewesha watu wanawaibia alafu wanawakimbia anakuja kuamka hana kitu chochote na Malaya hayupo kakimbia

Hakikisha unampa funguo mlinzi afunge mlango wa chumba chako ulicholala na huyo Malaya afunge kwa nje alafu akaendelee na kazi zake za ulinzi unamuachia namba yako na wewe chukua ya kwake baada ya hapo mpoze kidogo mlinzi hela ya kahawa na kukulinda 5k/10k/15k/20k/25k vyovyote utakavyoweza sio mbaya mlinzi ukimpa hivyo atakulindia hata paka wako

Hakikisha vitu vya thamani baadhi aidha unamuachia mlinzi au unaacha reception, usiende kulala na vitu vya thamani km Pesa nyingi na vingine ukiwa na Malaya, kabidhi vitu hivyo kwa mlinzi au reception wakutunzie

Kukikucha ukihitaji funguo mpigie simu mlinzi getini aje awafungulie hapo Malaya hakimbii hata awe mwizi vipi labda apenye dirishani
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Pole sana,siku nyingine Kama unapesa,mwambie malaya aingie bafuni akaoge,muda anaooga,hakikisha unachukua pesa zako pamoja na funguo,weka kwenye nguo zake.Akiamka usiku ili akusachi,atakuta huna pesa wala funguo,hivyo ataamua alale tu.
Ukifuata huu ushauri,huji kuibiwa kamwe.
 
Back
Top Bottom