Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Ndugu zangu;
Kwa desturi yetu sisi watanzania,kumiliki mjengo ni moja kati aya ndoto za watu wengi na pia ni kama kipimo cha kiwango cha ukwasi(Networth).Katika kutafuta maisha wengi wetu tunafikiri kwamba kupanga nyumba ni umaskini.
Leo nawakaribisha tujadili kwa pamoja juu ya hizi options mbili katika ya kumiliki mjengo kwa kununua au kwa kujenga mwenyewe Je upi ni uamuzi wa busara.Kwa ajili ya kwueka mjadala SAWA ninaposema kununua mjengo namaanisha pia option ya kununua custom house kwa kuchagua ramani etc.
Karibuni kwa mjadala.
Kwa desturi yetu sisi watanzania,kumiliki mjengo ni moja kati aya ndoto za watu wengi na pia ni kama kipimo cha kiwango cha ukwasi(Networth).Katika kutafuta maisha wengi wetu tunafikiri kwamba kupanga nyumba ni umaskini.
Leo nawakaribisha tujadili kwa pamoja juu ya hizi options mbili katika ya kumiliki mjengo kwa kununua au kwa kujenga mwenyewe Je upi ni uamuzi wa busara.Kwa ajili ya kwueka mjadala SAWA ninaposema kununua mjengo namaanisha pia option ya kununua custom house kwa kuchagua ramani etc.
Karibuni kwa mjadala.