Ngekemkeni Mitomingi
Member
- Jan 16, 2014
- 24
- 0
Habarini wanajamii forum,
Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye Kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka.Ila kuwe na uhakika wa maji kama vile mto ama bwawa maana ninataka kufanya kilimo cha umwagiliaji.
Mwenye taarifa sahihi unaweza kuwasiliana nami kwa namba 0655-535593
Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye Kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka.Ila kuwe na uhakika wa maji kama vile mto ama bwawa maana ninataka kufanya kilimo cha umwagiliaji.
Mwenye taarifa sahihi unaweza kuwasiliana nami kwa namba 0655-535593