Kununua simu (IPhone) toka XCITE, Mombasa

Kununua simu (IPhone) toka XCITE, Mombasa

C.K

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
394
Reaction score
164
Wadau, kuna hawa jamaa wanajiita XCITE wanadai wako Mombasa Kenya, wanauza Iphone kwa bei rahisi sana. Sasa ishu ni kwamba unalipia nusu kwa mpesa, paypal etc then unamalizia pale utakapoletewa mzigo.

Naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi nunua kwao na mzigo ukafika kweli wasijekuwa matapeli. Namba yao ya simu +254 792 648345, sales personnel anasema anaitwa Paulo Jonas Mangaitema.
 
Mzee yeyote anayejifanya anafanya online bussines halafu anataka malipo kwanza eti ndio akuletee mzigo, kua nae makini sanaaa...
Na sikushauri ufanye biashara ya namna hio kamwe.
 
Sawa wakuu, nashukuru kwa precaution zenu
 
Alafu eti ni wakenya....hahaa mkenya anayeaminika ni aliyekufa otherwise naona vilio humu
 
Back
Top Bottom