Kununua Treasury Bills za BOT

MalcolmX

Senior Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
158
Reaction score
100
Hizi ndizo dili zinazo waweka mjini wadosi sasa nilikuwa naangalia uwezekano wa kuingia kwenye hii game.

Je, mfano mtu ana $1 MILLION na anataka kurudisha around 4 or up to $5 MILLION hamuoni kama ni bora akanunua hizi T Bills? sijajua utaratibu wa faida zake ukoje lakini what if mtu anataka pesa zake zirudi in say 4 months?

https://www.bot-tz.org/FinancialMarkets/TBills/TBProspectus.asp

Au kama kuna procurement ya serikali au otherwise kuingiza faida kubwa zaidi ya chapa chap niko ok na turn around time.

Niko very serious na nasikilizia mawazo yenu
 
Ni biashara nzuri sana kama ukiwa na pesa nying....Tbills ni za mda mfupi yanii kuanzia mwez 1na haizid mwaka 1..banks mbalimbali hata Bot hutangaz hizo na huweka coupons...kwa upand wa Bot wakitoa unatakiwa kuchez ni kama bahti nasib yanii unasema wew unataka interest ya kiasi gani..bt ili uwez kupata inabid ufanye follw za vipnd vya nyuma kuona %za watu walioshinda yanii minmum na maxmum%itasaidia...bt fixed deposits za mabnk mengin hutangaz pia kweny magazet nd unawez pia kwenda personaly uka negotiate unaraka interst ya kiasi gan kulingan na pesa ulizonazo bt kweny TBills hawakupi kila mwez ni baada ya muda yanii iki mature ndo unapewa sababa ni short term investment ...ila kwa bond ndo huwa wanagawa interst na kukupa katika vipnd tofati..
All da bst
 
Hili suala nilijaribu hata sabasaba wanieleze lakini ilikua ngumu kwangu kuielewa ,waka niambia habari hiyo hiyo katika kila shilingi mia sijui wanakupa kumi.

Nilisha wahi kweneda kwnye fixed deposit nikiwa na pesa yangu ya maana nikidhani wanapo sema at 2% interest basi nikajua una calculate hivi , 10,000,000 x0.02=200, nikajua unakula 200,000 kiulaini, kumbe ni kama kama hivi 10,000,000 x0.02/30 = 6,666.6666667 kumbe hako ka elf sita ndio unacho pata .

Tuache yote na misamiati na habari ndefu ambazo wengine ni ngumu kuzielewa.Twende practical kwa manufaa ya wengi. Mfano mimi nina shilingi 10,000,000 , nika nunua tBills je nina calculate vipi ? naomba jibu uwe umekdiria hiyo intest rate na pia uonyeshe ukokotoaji wote angalau tupate idea, Kila siku tuna ona stock exchange kwenye TV ila kuzielewa ni ngumu pia ,tunaomba msaada wenu asanteni.
 
Hizi hazinunuliwi kizembe zembe... Ni financial institutions tu, kama banks, insurance, social security funds n.k ndio zinaruhusiwa kununua. Cjajua utaratibu ukoje kwa mtu binafsi. Labda ufungue kampuni ununue as a company...
 
Hizi hazinunuliwi kizembe zembe... Ni financial institutions tu, kama banks, insurance, social security funds n.k ndio zinaruhusiwa kununua. Cjajua utaratibu ukoje kwa mtu binafsi. Labda ufungue kampuni ununue as a company...

Watu binafsi pia wanaruhusiwa
 
Mie ninavyoelewa nikuwa unanunua hizo bills at discounted price, kwa mfano kwa kila shs 100/= unatoa offer ya kununua kwa shs 98/= ikimature wewe unalipwa shs 100/=. I stand to be corrected.
 
Haya mambo ya akina Rugemalira

watu wengi humu ni watu wa biashara za mayai na nyanya

Hii inataka uwe msomi wa hali ya juu kuelewa hizi dili zinawenda vipi
 
Hahahaha aisee kweli humu wengi ni wauza mayai aisee kufuga kuku na kulima...
 
Mtu binafsi anaruhusiwa kununua TBILL na TBONDs only that afanye kupitia commercial banks zozote zamani ndio walikua wanaruhusu watu kufanya directly kwa central bank ila siku hizi watu binafsi wanatakiwa kufanya kupitia kwa Commercial Banks ambao wanakua kama ma agent wao and in return wanalipia service charges kidogo kutegemana na bank na bank.

Kuhusu rate of calculations ni kweli zinafaida kama jinsi ilivyo kwa FIxed Deposit, na actully rates za fixed deposits kwa mabank huwa zinakua determined baada ya kuangalia movement ya hizi tbills na tbonds...

Kwa mfano mtu akiinvest shilling 86 atarudishiwa shillingi mia moja baada ya mwaka, na uzuri wa investments ka hizi, ufanye hela ndefu na kwa atleast a year cz rate za interest hutumia same principle...

{ Principle * Rate of interest * (number of days / 365)}

sasa watz tunapokosea mtu akisikia benk flani inatoa asilimia kumi huwa wanapiga mahesabu ya hela zao kuwa wakiingiza shillingi 100 watapata shillingi 110 hapo hapo wanasahau kuwa kila formula ya mahesabu haya huwa yanainclude calculations annually.

rates zake kwa sasa ziko kwenye 14% yaani kwa mahesabu simple kwenye kila shillingi 87 utayoweka na bot, utarudishiwa 100 - (13 * 10/100) hivyo utapata 98.7!

tbills ni za muda mfupi miezi mi 3, 6 mpaka 12 na tbonds ni miaka mi 2, 5, 7, 10 ,15 !

documents za statement zako za tbills n tbond unaweza tumia kama security kuombea mikopo pia..

kwa maelezo zaidi tutafutane...
 
Mie ninavyoelewa nikuwa unanunua hizo bills at discounted price, kwa mfano kwa kila shs 100/= unatoa offer ya kununua kwa shs 98/= ikimature wewe unalipwa shs 100/=. I stand to be corrected.

Unaweza kununua zikiwa discounted au zikiwa kwenye premium mkuu!!
 
 
Last edited by a moderator:
Wazee wa mujini wanasema gusa unase.. Sijui lakini

Maana kama unaweka sh 98 then unalipwa 100 faida sh 2/yr then TIARAHEI (TRA) bado hawajapiga hodi

Sasa hapo kinachobaki siju ni ki nini...
 
Ni uwekezaji mzuri,pia kuna tax advantage ukinunua kwajina la kampuni kuliko kununua kama individual.
Pia siyo lazima uwe na hela nyingi kwa mara moja,unaweza kutumia hela ndogo ndogo za savings zako kununulia investment kama hizi.
 
Haya mambo ya akina Rugemalira

watu wengi humu ni watu wa biashara za mayai na nyanya

Hii inataka uwe msomi wa hali ya juu kuelewa hizi dili zinawenda vipi

Ha ha ha nafikiri ukiwa mchumi ndo unaelewa vizuri haya mambo.Sasa wengi hatuna elimu ya uchumi. Ni vizuri mkawa mnatuelimisha wenye hii elimu.:becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…