Mahsen Nyota
Member
- Jul 28, 2015
- 17
- 12
Kwani si benki ya posta ndo wanafanya hiyo kazi? Nenda tu huko au tafuta documents tu ili mambo yasiwe mengi.
Barafu la moto
Kwani si benki ya posta ndo wanafanya hiyo kazi?
unafanya bishara gani??Habari wanajamii forum nahitaji msaada wa maelezo namna ya kuweza kununua USD Money (Dola)
Mimi nafanya Biashara zangu ndogo ndogo Online, sasa mara nyingi hua nanunua DOLA na kuituma kwa ajili ya kununua mzigo, jana nilikwenda Bank mbili hivi kwa ajili ya kununua Dola lakini kila nilipoingia walikuwa wanahitaji Document yani vithibitisho kuwa ile pesa unaenda kuifanyia nini......!
MSAADA KWENU...!
KUTOKANA NA BIASHARA YANGU NILIOIRODHESHA HAPO JUU NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUPATA HIYO HUDUMA???
benki ya Posta?
kwa hiyo bureau de change hazipo tena Tanzania?
Angalia hiibenki ya Posta?
kwa hiyo bureau de change hazipo tena Tanzania?
Je unatuma kwa njia gani?Mimi nafanya Biashara zangu ndogo ndogo Online, sasa mara nyingi hua nanunua DOLA na kuituma kwa ajili ya kununua mzigo,
Mbona matangazo yao yanatuchanganya sasa,kwenye matangazo wanasema ni rahisi kubadilissha hakuna kigezo chochote kile cha kubadilisha ama kununua,hebu jaribu Nmb nakumbuka wao wanachotaka ni kuwa na id mfano ya ya Taifa,ama cha mpiga kuraHakuna sasa hv kuchange pesa ni Bank na lazima uwe na maelezo ya kutosheleza waenda kuzifanyia nini!?
Je unatuma kwa njia gani?
Jibu la hili swali litanipa ufumbuzi jinsi ya kukusaidia.
pole mno mtoa hoja,huu ni mwaka 2019 bado tunahangaika na vitu vidogo kama hivi,mtoa hoja umejiajiri mwenyewe na ni haki yako kutoka serikali yako kukurahisishia mazingira ya ujasiri mali wako,ndio maana hadi leo tunaipigia magoti serikali yetu baada ya kutengeneza mazingira ya kuifanya ndie mwajiri mkuu na hii ni wrong,kujiajiri ndio njia mwafaka;huwa nashangaa sana kunapotelewa tangazo la kazi(ualimu,afya n.k)tunahangaika kama ndio tumefunguliwa na kuuona mwanga.u must fight for this na kulalamika hakutatoa majibu ,na njia za mkato sio nzuri ni vema ukawa raia mwema wewe na familia yako.good luck
Kama uko dar au Arusha nenda Kenya border unachenji na kuituma kununua mzigo au tafuta upande wowote wa border kati ya Tanzania nenda kanunue dollars na hukohuko Fanya kununua mzigo kisha njoo Tz kupokea
SWISSME
yule mwalimu hapo juu alikuwa na swali la msingi,UNAZITUMAJE?,je ni kwa mabasi,malorry au kupitia bank ,etc?
Na mimi ndo nataka nifahamu.yule mwalimu hapo juu alikuwa na swali la msingi,UNAZITUMAJE?,je ni kwa mabasi,malorry au kupitia bank ,etc?