Mahsen Nyota
Member
- Jul 28, 2015
- 17
- 12
Habari wanajamii forum nahitaji msaada wa maelezo namna ya kuweza kununua USD Money (Dola)
Mimi nafanya Biashara zangu ndogo ndogo Online, sasa mara nyingi hua nanunua DOLA na kuituma kwa ajili ya kununua mzigo, jana nilikwenda Bank mbili hivi kwa ajili ya kununua Dola lakini kila nilipoingia walikuwa wanahitaji Document yani vithibitisho kuwa ile pesa unaenda kuifanyia nini......!
MSAADA KWENU...!
KUTOKANA NA BIASHARA YANGU NILIOIRODHESHA HAPO JUU NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUPATA HIYO HUDUMA???
Mimi nafanya Biashara zangu ndogo ndogo Online, sasa mara nyingi hua nanunua DOLA na kuituma kwa ajili ya kununua mzigo, jana nilikwenda Bank mbili hivi kwa ajili ya kununua Dola lakini kila nilipoingia walikuwa wanahitaji Document yani vithibitisho kuwa ile pesa unaenda kuifanyia nini......!
MSAADA KWENU...!
KUTOKANA NA BIASHARA YANGU NILIOIRODHESHA HAPO JUU NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUPATA HIYO HUDUMA???