kununua vipande UTT AMIS kwa airtel money najaribu ina goma!

zyuho

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
220
Reaction score
348
Naomba kujuzwa namna ya kuweka hela UTT kwa kutumia airtel money . Kila nikijaribu inataka niweke namba ya kampuny na mimi siijui
 
Naomba kujuzwa namna ya kuweka hela UTT kwa kutumia airtel money . Kila nikijaribu inataka niweke namba ya kampuny na mimi siijui
Anzia hapa
Code:
https://www.uttamis.co.tz/
Utakuta hii namba 0800 112 020 ni bure kupiga, Piga na omba namba ya kampuni:
 
Naomba kujuzwa namna ya kuweka hela UTT kwa kutumia airtel money . Kila nikijaribu inataka niweke namba ya kampuny na mimi siijui
Nimetumia Google AI:
=
As of 30/11/2024 this information is thought to be correct, though future changes are always possible.

NB: Chukulia hii tarifa kama dokezo, Piga simu kwa wahusika na watakusaidia, Maswala ya fedha hayahitaji kubahatisha.
 
Naomba kujuzwa namna ya kuweka hela UTT kwa kutumia airtel money . Kila nikijaribu inataka niweke namba ya kampuny na mimi siijui
Nashauri wakati mwingine uwe unaweka kwa kupitia NMB mobile app au crdb mobile app, ni bure, kuweka hela utt kupitia mitandao ya simu kuna makato
 
Nimetumia Google AI:
=



NB: Chukulia hii tarifa kama dokezo, Piga simu kwa wahusika na watakusaidia, Maswala ya fedha hayahitaji kubahatisha.
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…