Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
- Thread starter
- #21
Ni option nzuri piaJapo serikali haifanyi biashara, inaweza kuwa na kampuni au shirika lake ambalo ndio pekee lipewe haki ya kufanya biashara ya chuma chakavu (kuuza na kununua).
Yaani anayehitaji chuma chakavu lazima anunue kutoka kwenye hiyo kampuni ya serikali tu, vinginevyo anachukuliwa kuwa ni mwizi tu.
Hii ndio itapunguza uhujumu wa miundombinu. Hata wauzaji wadogo wakiuzia serikali, lazima serikali ijiridhishe kuwa vyuma hivyo vimetoka sehemu salama.