kunyanyaswa kimapenzi

kunyanyaswa kimapenzi

Kumnyanyasa mtu kimapemzi kuko kwa aina nyingi. Mimi nina experience ya ndoa na pia baadhi ya wanandoa watakubaliana nami pia.

 Kumtuhumu mwenzako kua ana mahusiano ya nje ukiwa huna usibitisho wowote na kupelekea hadi wakati mwingine kulala mzungu wan ne ni kunyanyasana kimapenzi huko
 Wanaweke wengi huwanyayasa wanaume kimapenzi, wanawake walioko kwenye ndoa ingwa sio wote hawaoneshi kumuhitaji mume kimapenzi hata siku moja. Yaani mwanaume usipomwambia mkeo unahitaji kwa siku hiyo mnaweza kukaa hata mwaka mmoja. Mwanamke anachofanya ni kunong’ona na kukulalamikia umepana nyumba ndiogo nini? Wanawake hawasemi baba X leo nina hamu njoo au sogea karibu
 Masharti yasiyo ya lazima pia ni kunyanyasana kimapenzi kwa mfanyo unakuta mke na mme hamna kugusa simu ya mwenzio. Au upande mmoja wa ndugu unapendelewa
 Huduma za nyumbani, mfanyo mimi napenda sana mke wangu anisevie chakula na sio House Girly. Lakini baadhi ya wanawake hawajali house girl ni kila kitu.
 Kuwa na mahusiano nje ya mwenzako iwe mpenzi, mke au mme pia ni kumnyayasa mwenzako kimapenzi
 Maisha ya ugomvi wa mara kwa mara pia
 Ngono bila kinga kama sio mkeo pia ni unyanyasaji wa kimapenzi
 Kutokuwa na muda wa kutosha wa kukaa na mwenzio, baadhi ya wanaume wanapotoka kazini na kupitia vijiweni hadi usiku, ni kuwanyayasa wenzi wao
 Kutotoa mahitaji muhimu
 
Kumnyanyasa mtu kimapemzi kuko kwa aina nyingi. Mimi nina experience ya ndoa na pia baadhi ya wanandoa watakubaliana nami pia.

 Kumtuhumu mwenzako kua ana mahusiano ya nje ukiwa huna uthibitisho wowote ni kunyanyasana kimapenzi huko {Tick}
 Wanawake wengi huwanyayasa wanaume kimapenzi, wanawake walioko kwenye ndoa ingawa sio wote hawaoneshi kumuhitaji mume kimapenzi hata siku moja. Yaani mwanaume usipomwambia mkeo unahitaji kwa siku hiyo mnaweza kukaa hata mwaka mmoja. Mwanamke anachofanya ni kunong'ona na kukulalamikia umepana nyumba ndogo nini? Wanawake hawasemi baba X leo nina hamu njoo au sogea karibu- Hii ni kweli ila inategemea na maadili aliyokuzwa nayo. Wengi wetu tumelelewa tukihimizwa kuwa tendo hilo ni baya, chafu, aibu na halifai kulifanya (enzi za utoto), kama hiyo haitoshi tunafunzwa kuwa na ile heshima ya woga (wengine huambiwa marufuku kuvaa vijiguo vya kiuchokozi ) sembusa kudai baba nanii leo naomba?!
 Masharti yasiyo ya lazima pia ni kunyanyasana kimapenzi kwa mfano unakuta mke na mme hamna kugusa simu ya mwenzio. Mh hili litakuwa nyanyaso la enzi za usasa!! hapana siwezi kuiita kama manyanyaso kwa maana halisi ya neno hilo!
 Huduma za nyumbani, mfanyo mimi napenda sana mke wangu anisevie chakula na sio House Girl. Lakini baadhi ya wanawake hawajali house girl ni kila kitu.- Hii ifanyike out of mapenzi na zio wajibu au lazima
 Kuwa na mahusiano nje ya mwenzako iwe mpenzi, mke au mme pia ni kumnyayasa mwenzako kimapenzi
 Maisha ya ugomvi wa mara kwa mara pia
 Ngono bila kinga kama sio mkeo pia ni unyanyasaji wa kimapenzi-Hapa nani anamnyanyasa mwenzie?
 Kutokuwa na muda wa kutosha wa kukaa na mwenzio, baadhi ya wanaume wanapotoka kazini na kupitia vijiweni hadi usiku, ni kuwanyayasa wenzi wao
 Kutotoa mahitaji muhimu

Mkuu mfanyo ni sawa na mfano?

Nauliza tu mkuu otherwise you have nailed it
 
mh basi asante Pretty je ukimpenda mtu halafu anakutukana anakupa kashfa,anakutafutia sababu kila siku ziszo za msingi kama kukusingizia una mahusiano na mwanamke mwingine wakati si kweli au mwanaume?kukutukana?kukuvunjia heshima mbele za watu kama kukutukana mbele za watu?hiyo nayo ipo vipi?ni kurekebisha tabia au unyanyasaji?



huyo hakunyanyasi ni hakupendi, sasa meshidwa kukuambia kwa maneno anaonyesha vitendao
 
Back
Top Bottom