Kunyimwa goli: Yanga yaenda CAF kudai point 3

Sasa hujaweka kifungu kinachodai point tatu?
 
Mwasibu wa mashoga vipi upo?
 
Afu mtu ana beji ya platinum member na uchokooh wote huu...? Kwahiyo ni ajabu yanga kuandika barua juu ya maamzi ya refa yenye viashiria vya rushwa?.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaa!!
Malalamiko FC, jamani huku sio losers, hakuna mchekea.
Wooooiiiiiiiiiih
 
Ninavyojua sheria za mpira ni kuwa uumuzi wa refarii na wasaidizi wake ndio wa mwisho hata kama ni uamuzi mbovu wa waziwazi. Sana sana ni kuwa refarii huyo na wasaidizi wake wanaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu lakini matokeo ya uwanjani hayabadiliki.
 
Nilivyoelewa imetuma malalamiko na si kuomba ushindi wa mezani au match irudiwe,
 
Tangu lini mbumbumbu ukawa na akili? nmesema matokeo yanafutwa sio kupewa points au unataka nikupe reference?

Mpira ulishaisha subirini mechi zinazofuata, hayo mengine tuwaachie waganga wa kienyeji, na kama CAF watawajibu barua yenye sababu kama hizo basi mshukuru sana, lakini hapo hakuna issue!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…