mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
serikali iliangalie suala hili kwa sura ya nje sio ya utawala wa chuo
sababu aliyotoa waziri kuhalalisha kunyima vyeti wanafunzi kwa sababu eti waligoma kusaini
sio sahihi. wawaite wawasikilize
source: BUNGE LA TZ
sababu aliyotoa waziri kuhalalisha kunyima vyeti wanafunzi kwa sababu eti waligoma kusaini
sio sahihi. wawaite wawasikilize
source: BUNGE LA TZ