Leo asubuhi watoto wangu wawili wanaofuatana wa miaka 6 na 3 wamekunywa mafuta ya taa ambayo yalihifadhiwa chumbani ndani wakidhani ni Maji ya Kunywa yalihifadhiwa, niliwapatia maziwa fresh baada ya stanza kukohoa.... Je mafuta haya yana madhara gani?