Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 993
- Thread starter
- #21
, remember 2 b backheeee!!!!
Mambo mengine bana..
Im outa of here.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
, remember 2 b backheeee!!!!
Mambo mengine bana..
Im outa of here.
Kuwa na MD tu haitoshi kumfanya mtu kuwa specialized na kujua maji kihivyo. Watu wanashaka na hizo findings eti kunywa maji baada ya kupata kiu ni hatari.Mtu akiwa na M.D kwa hakika ni mtaalamu wa afya au siyo mkuu?: WaterCure | About Dr. B
anza pole pole mkuu, glasi moja huku ukiongeza moja moja kila siku, utazoea tuyaani mim mwenzenu kunywa maji bila kiu nayaona mabaya lkn nikiwa na kiu ndo naweza kunywa tena hapo ndo nayaona matamuu.Tutakufa wengi.
kanuni ya makisio ya mahitaji yako ya maji kwa siku ni kunywa nusu ya uzito wako katika aunsi, kiasi kidogo juu au chini ya hapo kinakubalika, jisomee zaidi kiasi unachohitaji hapa: je, tiba kwa kutumia maji inafanyikaje? | maajabu ya majiNakiri kusema KUNYWA MAJI LITRE 2 kila siku atleast utakuwa upo safe...
mkuu, ma M.D waliosomea na wanaosomea Biochemistry na Physiology hawafundishwi thamani ya maji mwilini, wanafundishwa tu kuwa maji ni kitu kinachotumika kusafirishia vitu mwilini, hawafundishwi kuwa maji yanaweza kutibu BP, Kisukari, Aleji, Kansa n.k, halafu wakifundishwa haya itakuwaje?.Kuwa na MD tu haitoshi kumfanya mtu kuwa specialized na kujua maji kihivyo. Watu wanashaka na hizo findings eti kunywa maji baada ya kupata kiu ni hatari.
Nadhani MD aliyesoma vizuri Biochemistry na Physiology atakubaliana nami kuwa dalili ya kiu ni moja ya indicator ya kunywa maji na hiyo ni FACT hadi hapo research itakapofanywa na kuonesha kuwa kuna P value with statistically significance kuwa kunywa maji wakati una kiu ni hatari kwa afya! instead of comparing our bodies with car parts please do some research otherwise SHUT UP na usipotoshe watu!!!
http://maajabuyamaji.com/
KUNYWA MAJI BAADA YA KUSIKIA KIU NI KUJIANDALIA KIFO CHA MAPEMA NA CHENYE MAUMIVU SANA:
Muda gani unamwagilia maji bustani yako? Kwa hakika ni asubuhi au jioni na si saa nane mchana wakati jua tayari likisha kuwa kali la sivyo mimea itakufa. Pia ukitembea umbali mrefu na gari na ghafla maji yakaisha katika injini haushuki tu na kuongeza mengine papo kwa papo, utasubiri injini ipowe ndipo uongeze mengine la sivyo injini ya gari (ambayo ni chuma) itakufa.
Hivyo binadamu kuendelea kusubiri kiu au mdomo ukauke ndipo anywe maji, huwa anajiandalia kifo mwenyewe cha mapema na chenye maumivu sana. 'Mwili wa binadamu unapopungukiwa maji hutoa ishara (indicators), tumeziita ishara hizo kuwa ni magonjwa, hauumwi, una kiu, usiitibu kiu na madawa dr. fereydoon Batmanghelidj'.
Hivyo magonjwa kama maumivu, pumu, aleji/mzio, shinikizo la damu, kisukari,utipwatipwa, kansa, kuzeeka mapema na mengine mengi; yote haya ni ishara tu za mwili kutuambia kuwa tunapungukiwa maji, yaani tunaumwa kiu!!.
kiu hutibika kwa maji tena bila gharama yeyote!.
Magonjwa ni moja ya maadui wetu watatu tuliotangaza kuendelea kupigana naye mpaka tumshinde mara baada ya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni mwaka1961. Ni zaidi ya nusu karne sasa bado tungali na adui huyu anayezidi kutia hofu mamilioni ya watu.
Maajabuyamaji.com inaitaja sababu ya maradhi kuendelea kututesa kuwa ni mazoea yetu kusubiri kiu ndipo tunywe maji. Inajulikana wazi kuwa maji ni uhai. maajabuyamaji.com inafafanua sababu za maji kuitwa ni uhai, inaeleza madhara yatokeayo mwilini inapotokea tunaipa miili yetu maji ya mgawo (yaani tunapokunywa maji baada ya kusikia kiu).
Kumbe kwa kutumia maji tu yale tunayoyanywa kila siku tunaweza kujikinga na kujitibu magonjwa mengi bila idadi na hatimaye kumshinda adui maradhi na hivyo kujipunguzia gharama sisi wenyewe na serikali kwa ujumla.
Maajabuyamaji.com inafundisha pamoja na mambo mengine: kazi za maji mwilini mpaka kuitwa ni uhai, namna mpya ya kuitambua kiu, na namna ya kunywa maji ili kujikinga na kujitibu na maradhi mbalimbali.
Hakuna anayependa kuugua, awe daktari, askari, kiongozi wa serikali au wa dini, mwandishi au mtangazaji, mfanyakazi au mkulima. Tovuti yako ya maajabuyamaji.com inapenda kushirikisha vyombo vya habari na wadau wengine katika kuelimisha hili, moja ya kazi mhimu za chombo cha habari ni kuelimisha jamii kwa manufaa ya jumla ya jamii nzima, kwa sababu hii tunakitoa bure kitabu cha kieletroniki (e-book) kinachoeleza kwanini kusubiri kiu ndipo tunywe maji ni kujiandalia kifo mapema na chenye maumivu sana. Kitumieni hicho kama mwongozo (user manual) wenu.
Tuendelee kusherehekea miaka 50 ya uhuru tukiwa tayari na silaha ya kumshinda adui maradhi kwa kutumia maji tu.
http://maajabuyamaji.com/
attached: maajabu ya maji e-book,download it for free
Kwanza mtoa mada hajakusudia kuwa tusinywe maji wakati tunaona kiu, ni kwamba tusisubiri kuhisi kiu ndo tukanywa maji, yaani mpk indicator ikuoneshe. Tuwe na mazoea ya kunywa maji vile inavyotakikakna, kwani wengi wetu tunakunywa maji tu bt hatujui when and how.Kuwa na MD tu haitoshi kumfanya mtu kuwa specialized na kujua maji kihivyo. Watu wanashaka na hizo findings eti kunywa maji baada ya kupata kiu ni hatari.
Nadhani MD aliyesoma vizuri Biochemistry na Physiology atakubaliana nami kuwa dalili ya kiu ni moja ya indicator ya kunywa maji na hiyo ni FACT hadi hapo research itakapofanywa na kuonesha kuwa kuna P value with statistically significance kuwa kunywa maji wakati una kiu ni hatari kwa afya! instead of comparing our bodies with car parts please do some research otherwise SHUT UP na usipotoshe watu!!!
Nashukuru sana mkuu, kwa hakika umeelewa. Utangulizi | maajabu ya majiKwanza mtoa mada hajakusudia kuwa tusinywe maji wakati tunaona kiu, ni kwamba tusisubiri kuhisi kiu ndo tukanywa maji, yaani mpk indicator ikuoneshe. Tuwe na mazoea ya kunywa maji vile inavyotakikakna, kwani wengi wetu tunakunywa maji tu bt hatujui when and how.
Kiukweli, ukinywa maji inavotakikana inasaidia sn kukinga maradhi mengi na kuuweka mwili ktk hali nzuri kiafya.
Maji ni uhai.
Asante sana. Tatizo langu mimi nikinywa maji nabanwa sana mkojo mara kwa mara. imekaaje hii au ni ugonjwa. Naomba kuuliza
, mkuu, unazipenda soda? soma stori hii ya kuvutia namna soda zinavyoweza kuharibu afya ya mwili wako taratibu bila wewe kujuwa: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/174006-soda-vs-uzito-utipwtipwa-na-unene-kupita-kiasi.htmlNgoja nishushie na sprite kwanzamanake hii hata kawa maji ni ngumu kumeza!!
KAKAjambazi, KWA HAKIKA mwili na vyuma ni vitu viwili tofauti, najaribu kukuelewesha namna ilivyo ni mhimu kunywa maji bila kusubiri kiu, unaona hata katika gari hausubiri mafuta yaishe kabisa katika tank la sivyo sheli utafuata mafuta kwa miguu na kidumu, utachoka sana bila shakaUsifananishe chuma na mtu. Rate/coeficiant ya expansion zinatofautiana pia. Mbona binadamu hapati kutu japo ukimweka kwenye mazingira sawa na msumari?