Natoka jasho jingi sana wakati wa kufanya mazoezi kiasi cha kulowanisha nguo zote na jasho jingine kutirirka chini. Huoni inaweza kuwa sababu ya kunywa maji mengi ili ku-replace na pengine kusiwe na madhara?
Siwezi kumaliza hata lita moja kwa siku
Wakuu,
Ninakunywa maji mengi kwa siku, lita 7 hadi 10. Nafahamu kwamba inashauriwa kwa siku mtu unywe maji yasiopungua lita 3. Je kuna madhara yoyote kiafya kwa kunywa maji yanayozidi kiasi hicho?
NB: Nafanya mazoezi ya viungo kwa wastani wa saa moja hadi moja na nusu kwa siku mara tano kwa wiki.
Wakuu,
Ninakunywa maji mengi kwa siku, lita 7 hadi 10. Nafahamu kwamba inashauriwa kwa siku mtu unywe maji yasiopungua lita 3. Je kuna madhara yoyote kiafya kwa kunywa maji yanayozidi kiasi hicho?
NB: Nafanya mazoezi ya viungo kwa wastani wa saa moja hadi moja na nusu kwa siku mara tano kwa wiki.
hii kali sanaUnakunywa kwa sababu una kiu au unakunywa kwa sifa uweke rekodi?
Hilo pia ni tatizo, jitahidi uongeze kiasi maana maji yana umuhimu mkubwa katika mwilimi hata nusu lita sifikishagi. nllijiekeaga ratiba ya kunywa lita 2 kila asubuh ila nimeshindwa