Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu naomba kuuliza kunywa pombe asubuhi ni kosa kisheria?
Ni kosa la UZEMBE NA UZURULAJI 🏃🏃🏃🏃Wakuu naomba kuuliza kunywa pombe asubuhi ni kosa kisheria?
Inategemea unanywea wapi na naniWakuu naomba kuuliza kunywa pombe asubuhi ni kosa kisheria?
Jioni naingia job. Shujaa Magu alisema watu wanywe bia lakiniHadharani ni kosa kuna sheeia ndogo ndogo za miji zimekataza labda ukanywe ndani kwako japo napo maadili yanakubana utafundisha watoto tabia mbovu. Chapa kazi pombe jioni
Mjini unakunywa tu, hakuna atakayekufuatilia unakunywa pombe saa ngapi.Niko halmashuri ya mji
Sheria ndogo ndogo inaweza mfunga mtu?
Kwa nyumbani kwako halafu ukaendelea na shughuli zako ni sawa...Wakuu naomba kuuliza kunywa pombe asubuhi ni kosa kisheria?
Sasa hizi sheria faida zake ni zipi?Ukienda pale Kilimanjaro Kempisk - hamuna shida
Ukienda kwenye biashara ya vileo - 24/7 hamuna shida
Ukinywea hadharani ndo taabuu -- unaenda kaa selo kwa masaa kadhaa
Changamoto zaidi uwe unaendesha chombo cha moto na ukutwe umelewa asubuhi / mchanaa