Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanunulie na hako kajamaa Kilimanjaro kubwaNiko kwenye kamji sasa nikaagiza safari. Nashaanga kakaingia kajamaa kuja kupata supu muuzaji ameninyang'anya glasi anasema ni askari. Hii si sawa
Hao itakuwa wanataka rushwa tuNdo hapa natishwa na nimefichwa chini ya kaunta. Sasa bia nataka imebidi niwe mpole
Pombe za alfajiri zina raha sana,,,juzi kati niliamka saa 8 usiku nikaenda kwa mama semeni kunywa pombe ya warioba,da!!!! ilipofika saa 1 asubui nikawa anrudi home,kilichonishangaza watoto walikuwa wakinishangilia sana barabarani!!Wakuu naomba kuuliza kunywa pombe asubuhi ni kosa kisheria?
Hahaha mkuu ulitisha sanaPombe za alfajiri zina raha sana,,,juzi kati niliamka saa 8 usiku nikaenda kwa mama semeni kunywa pombe ya warioba,da!!!! ilipofika saa 1 asubui nikawa anrudi home,kilichonishangaza watoto walikuwa wakinishangilia sana barabarani!!
Ukinywa asubuhi pia usiku unalala vizuri tofauti na usikuPombe za alfajiri zina raha sana,,,juzi kati niliamka saa 8 usiku nikaenda kwa mama semeni kunywa pombe ya warioba,da!!!! ilipofika saa 1 asubui nikawa anrudi home,kilichonishangaza watoto walikuwa wakinishangilia sana barabarani!!
Nazani wanaotengeneza kilevi wanajua wanaweza kukusaidia, kwa mimi tatizo ni kutoa harufu mbaya kwenye kinywa huku wewe uliekunywa hujui kwamba unanuka mdomo, na asubui mtu unakuwa na mawasiliano na watu wengi.Wakuu naomba kuuliza kunywa pombe asubuhi ni kosa kisheria?
sure!! kimsingi mimi week-end huwa nakunywa pombe alfajiri sana,,,sitanii mara nyingi naanza pombe saa 8,9,au 10 alfair,nalamba mpaka saa 1,2, a3 asubui baada ya hapo unakuta mama ntilie wengi supu ishaiva,nalamba supu ya buku jero na chapati 3,then naenda home,nalala mpaka kwenye saa 10 jioni ndo usingizi umekuwa umeisha!!!!,,,,,,,,,Ukinywa asubuhi pia usiku unalala vizuri tofauti na usiku
Mimi nimetoka job naenda haya mawasiliano na nani sasaNazani wanaotengeneza kilevi wanajua wanaweza kukusaidia, kwa mimi tatizo ni kutoa harufu mbaya kwenye kinywa huku wewe uliekunywa hujui kwamba unanuka mdomo, na asubui mtu unakuwa na mawasiliano na watu wengi.
Uzembe kunywa muda wa asubuh muda wa uzalishaji mali..Uzembe kivipi nimetoka kazini night shift
Yap wanapenda sana vya bureHuyu askari?
Oh hoo unaweza kutana na best ghafla tu siku nyingi hamjaonana unsongea na mtu unakuta pua yake inaelekeza pembeni apate oxygen safi sababu kwako umeshapiga pombe mic na supu basi hatari tupuMimi nimetoka job naenda haya mawasiliano na nani sasa
Hujajibu swali kunywa pombe sio kuwa alcoholic uliyoipost. Alcoholic ni mtu ambaye anakunywa pombe kupita kiasi na bila kuwajibika. Hujawahi kutumia panadol unajua ol ni kwasababu ya Alcohol? Jua kila kitu bila kiasi ni dhambi na kina madhara, na kila kitu kinachokucontrol kinakufanya uwe addicted ni haramu na kitakufilisi..hata kiwe kizuri cha aina gan