Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Sasa ndugu zangu wala ulabu kwa hali hiyo je ni starehe ama utumwa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utumwa ni nini? Tuanzie hapo kwanza
😍😍😍😍😍hiyo ndio starehe yenyewe
Usinywe pombe tu kwasababu umenunuliwa kunywa pombe ukiwa na hela ya minyamanyama hata ukeshe hautalewa kamwe.Bia na kitimoto kilo mbili.
Mimi sinywi pombe ila nikiona mtu anakunywa pombe na nyama hasa kitimoto, huwa najisikia vizuri.
Bia ya baridi na kitimoto kilo mbili hiyo siyo dhambi, ila ukinywa bia kavu kavu ni tatizo.
Hao mbona hawanywi pombe hapo wamekaa tu ila izo chupa za bia ziko karibu yao.
Pombe haina visa, visa vinakuja na mtu mwenyewe na huyo mtu hata asipokunywa anakuwa na visa tuu ila akinywa sasa ndo vituko vinaongezeka...!!!POMBE Ina Visa vingi Sana ambavyo tukisema tusimuliwe vyote basi mtashangazwa
A na B ni sawa
Mzee wa Ibiza hahahahaWasabato bhana...[emoji4]View attachment 2070411
We mtu hatari sana!Wasabato bhana...[emoji4]View attachment 2070411