Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
utumwa wa pombe ndio starehe yenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari wameumaliza mwendo hawa.
Kuna kipindi unagonga unaona kabisa geji iko full mshale umelala ila sasa unakuta wenzako nao ndio kwanza wanapombeka. Huwa inakata stimu kinyama unatafuta kila njia pombe ikate uanze upya.Wenzako hapo wana enjoy
Pombe raha yake uwe stim kama hivyo
Ova
Kuna tofauti kati ya mamba na kenge japo wote wanafanana sura na maumbo
Hapo inabdi unywe maji mengi tuKuna kipindi unagonga unaona kabisa geji iko full mshale umelala ila sasa unakuta wenzako nao ndio kwanza wanapombeka. Huwa inakata stimu kinyama unatafuta kila njia pombe ikate uanze upya.
Unamfyonza kwanza.. Aende na matonetone ya BIA..!!! nani kasema?Na nzi akiingia kwa chupa unamtoa na kuendelea kukata ulabuu
Unajua kuwa starehe yako wewe inaweza ikawa ni utumwa kwa mwingine na kinyume chake? Kama fegi tu.. wengine moshi unawakera.. HUKO KUBEMBEA NDO STAREHE YENYEWE KWA WAO
Kweli mkuu.Hapo inabdi unywe maji mengi tu
Ova