stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Jamani mnaojua sheria naombeni msaada,nina ndugu yangu alikunywa sumu lengo lake ilikuwa kujiua,tukamuwahisha hospitali lakini kabla ya hapo tuliambiwa hospitali hatatibiwa mpaka ipatikane PF3 tulifanikiwa kuipata bahati nzuri ndugu yetu huyu katibiwa na amepona kabisa,sasa nisichokielewa wale polisi walionishughulikia kuniandikia PF3 wananipigia simu kila siku ili niende tukayamalize mambo,sasa sielewi hapa kuna procedure nyingine ya kufuata au ni mambo ya kuliana hela!