Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Wakuu kukicha kuna matatizo yanayotokana na maamuzi ya kuolewa au kuoa.
Hivi kunafaida gani ya kuoa au kuolewa?ni kwa ajili ya kutimiza agano maandiko ya mungu?
Au twaowana kwa ajili ya kupata watoto?Ila hili si sahihi kwa kuwa kuna watoto wanaopatikana hata nje ya ndoa?
Au ni kwa sababu ya kulinda imani na desturi za mababu na wazazi wetu?
Ni hasa faida ya haya maamuzi?
Hivi kunafaida gani ya kuoa au kuolewa?ni kwa ajili ya kutimiza agano maandiko ya mungu?
Au twaowana kwa ajili ya kupata watoto?Ila hili si sahihi kwa kuwa kuna watoto wanaopatikana hata nje ya ndoa?
Au ni kwa sababu ya kulinda imani na desturi za mababu na wazazi wetu?
Ni hasa faida ya haya maamuzi?